Aboubakary n mfungaji bora .... hawez kuwa mchezaj bora ..coz mchezaji bora wanaangalia vitu vingi zaid ya kufunga tuu ...Ukimuangalia Mane kwanza amekua akianzisha mashambulizi ....ametoa assist kadhaa na pia ameweza kuiongoza team yake mpaka kufika fainal ...Okay Senegal bingwa na Ana deserve was a better team today. Lakini golikipa wa tournament Ni gamal wa Egypt sio Mendy wa Senegal na player wa tournament ni Vincent Aboubakary sio Sadio Mane. Sijui wanatumia vigezo vipi kuchagua hawa wachezaji[emoji2371]
Anaitwa bouna sarr yupo bayern MunichBeki Za Egypt watatu wanacheza zamalek na mmoja wa kushoto ahly ahly. Nadhani sababu wachezaji wao wengi hawataki kwenda ulaya kucheza pia gabaski nae ilikuwaje akawa kipa namba 2?
Kuna kale ka jamaa cha Senegal kanapiga beki ya kulia kalikosa penalty ni moto aseeh yupo vizuri Sana kiufupi team zote mbili mbavu zao kulia na kushoto zilikuwa fiti Sana..
Lakini tukubali elneny alipotezwa na gueye vibaya Sana.. Mpaka trezeguet alipoingia akawa anashuka chini kusaidia..
Kwangu Bingwa wa Kombe hili ni Senegal
Wekeni hii post kwa kumbukumbu
Pole kwa kukosa ubingwa mwarabu najua inauma sana.
Wakuu nina maswali
Kwanini Algeria kwenye mashindano haya alivaa shati katika Ina badge ya fifa timu nyengine hazikufanya hivyo ?
Je kuchukua afcon unaweza fuzu mojakwamoja world cup ?
Baada ya mashindano ya AFCON22 timu za Afrika zinajiandaa kwa WC Qatar.
Katika timu 10 za Afrika zilizofuzu mchujo wa mwisho wa kupata timu 5, ni nchi moja tu DRC ambayo haikushirikia AFCON Cameroon iliyoisha leo.
Kwa maana nyingine tumeziona timu 9 (ukiondoa DRC) zikionyesha nguvu zao ikiwa zitafuzu WC.
Kwa mtazamo binafsi katika timu zote zilizoshiriki AFCON, Ivory Coast ndiyo iliyoonyesha soka kubwa ambalo kama ingefuzu WC nina uhakika ingesumbua, bahati mbaya haimo katika 10
Tuziangalie timu 10 zitakazotoa 5 kuelekea Uarubuni kwa WC
DRC- Ukiacha mechi za kufuzu ambazo imetumia wachezaji wa kulipwa hatuwezi kupima uwezo wake, haikushiriki AFCON. Tunabaki kuamini tu kama itafuzu ina wachezaji wa kulipwa
Nigeria- Ni dhaifu sana ukilinganisha na zilizowahi kushiriki WC. Haina mpangilio wa soka, wachezaji wanatumia vipaji na uzoefu wao bila team work
Tunisia- Mchezo wao ni ule ule wa kila mara, haina timu ya kutisha lakini ina timu ya matumaini
Ghana- Ina timu mbovu sana kama itafuzu WC inahitaji kubadili mchezo na hata wachezaji.
Kama itafuzu WC haivuki hatua ya kwanza. Ghana imepoteza ile ''total football'
Cameroon- Ina timu nzuri sana hasa viungo na beki, haina forward ikimtegemea Aboubakary.
Abou akiwa chini ya ulinzi Camroon imezima. Ikifuzu WC inaweza kuingia 16 lakini si zaidi ya hapo
Egypt- Ina timu nzuri hasa ulinzi. Wanacheza 5-4-1 wakimtegemea Salah.
Kama Cameroon, ukimweka Slaa chini ya Ulinzi Egypt haina kazi.
Mali- Wanatumia nguvu sana kuliko maarifa, hawana mashambulizi ya kupanga.
Si timu ya kutumainia WC kama itafuzu.
Morroco- Wana timu nzuri pia lakini ushambuliaji wao si mzuri.
Wana viungo wazuri na hutegemea sana ''winger' . Kwa mipira ya kudondosha, ni ngumu sana kuzifunga timu za Europe. Ikifuzu WC inaweza kuingia 16 si zaidi ya hapo
Senegal- Ina timu nzuri lakini beki yake inakatika sana. Inahitaji kuimarisha eneo la kiungo na kuacha kumtegemea mshambuliaji mmoja tu. Ikifuzu inaweza kuingia 16 si zaidi ya hapo
Sijui kwann hachezi ulayaHuyu Gabaski naona ni bora kuliko Elshenawy
Star wa Cameroon kwenye World Cup ya 1990 pale Italy.
Waarabu ndicho nachowapendea hawana time na mzungu....angalia hata akina aboutrika n.k ni mafundi haswaa lakini hawakuwa na tamaa ya kwenda nje, nationality yao ndio kitu cha kwanza, na wala hawaringiSijui kwann hachezi ulaya
Mwez ujao hawa Mashujaa wanakutana tena kutafuta Qualification ya wcView attachment 2111237
Ndio maana alikuwa anapiga soka la ki Bayern Munich..Anaitwa bouna sarr yupo bayern Munich
Alafu Ulaya wanatoa matimu mengi mengine hata hayaeleweki.Waarabu ndicho nachowapendea hawana time na mzungu....angalia hata akina aboutrika n.k ni mafundi haswaa lakini hawakuwa na tamaa ya kwenda nje, nationality yao ndio kitu cha kwanza, na wala hawaringi
Alafu Ulaya wanatoa matimu mengi mengine hata hayaeleweki.
Afrika tupewr timu kumi, nchi zipo 54 na timu zilizo competitive ni zaidi ya 15,