Sasa hivi hamna cha ukaskazini soka imebadilika ,wameshadrop points jua wengine washajichukulia points,zamu hii wakipambana ni draw tuNi swala la muda tu.....timu za kaskazini si unajuwa tena, mwanzo wanasoma mazingira, next match utawaona tofauti, ndiyo kawaida ya timu za kaskazini
Sasa hivi hamna cha ukaskazini soka imebadilika ,wameshadrop points jua wengine washajichukulia points,zamu hii wakipambana ni draw tu
Walijiamini Sana, na hii imewasaidia sana game Leo, acha tusubiri game ijayoChama langu wapo njema...nimewaona,wakipepetana na Egypt... Wametulia Sana..Pongezi Kwa Kocha Kwa kuwajengea kujiamini
Nani anawakilisha Afrika mashariki?Michuano ya Afcon imefika, ni hapo kesho ndio inatarajiwa kuzinduliwa. Itafanyika kuanzia kesho Januari 9 mpaka Februari 6 mwaka huu.
Michuano hii ilibidi ifanyike mwaka jana 2021 ila kwasababu ya Covid-19 ikahairishwa. Hivyo inafanyika mwaka huu ila ina jina la mwaka jana.
Mwenyeji wa michuano hii ni Cameroon, huku Algeria akiwa ni bingwa mtetezi!
Jumla ya timu 24 zitapambana kutafuta bingwa mpya katika michuano itakayifanyika katika majiji matano yenye viwanja sita ndani ya Cameroon.
Mechi hizo zitakuwa live kupitia ving'amuzi vya Azam, Dstv, Star times, Canal.
Wale wadau wa kustream basi pitieni hesgoal.com
Hivyo, kwa updates zote za michuano hiyo utakuwa unazipata kwenye uzi huu karibu sana mwanamichezo!
View attachment 2073241
Nani anawakilisha Afrika mashariki?
DiarraNamuona kipa wa ya yanga giara yupo bechi
giara nd'o nani ?Namuona kipa wa ya yanga giara yupo bechi
Rafiki wa Simba ni mojawapo ya wachambuzi wa hii game.Namuona kipa wa ya yanga giara yupo bechi
We jamaa bana prediction zako Waga za ajabu sana, Sasa unaotea team 5 tena zote ambazo zina asilimia kubwa ya kufika finally, Yani ni sawa mtu aseme Eti napredict bingwa wa ligi kuu bara kama sio Yanga basi Simba ilhali ndio always inakuwa hivo
Hahaaa sawa kamanda, naomba utunze hii comment
My Prediction
......... Algeria and Morocco
......... Senegal and Algeria
......... Nigeria and Morocco
......... Morocco and Algeria
Bila kuwasahau Mali na Tunisia
Naona amejaribu kumaliza mpira kabla ya wakatiHuyu refa wa TUN n MAL anachezesha wa hasira kama vita yan
Africa tuna tatizo some whereKuna vituko mechi ya Mali vs Tunisia
Chagua team mbili za kufika fainali Ili zikifika tuseme kweli ulitabiri, Sasa hapo si umetaja timu zinazofanya vizuri kwa sasaHahaaa sawa kamanda, naomba utunze hii comment
My Prediction
......... Algeria and Morocco
......... Senegal and Algeria
......... Nigeria and Morocco
......... Morocco and Algeria
Bila kuwasahau Mali na Tunisia
Hatuna tunaloliweza, ni kama tuna kalaana fulani mkuu.