Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 797
- 2,233
Huyu refa atakuwa ashatendwa na waarabu hivyo ana hasira nao.Vituko hili kombe, dakika hazijafika 90 mpira refa ameuvunja. Mwanzo aliuvunja daika 84 than akaja uvunja daika 89
Ameugua malaria,utakuwa utetezi wakeHuyu refaree leo ndio utopolo kabisa. Najisikia aibu kuwa mwafrika. Maana hakuna kitu tunachoweza. Kwanza alimaliza mpira dk ya 85. Kukazuka tafrani, mpira ukaendelea. Akatoa streight red card kwa mchezaji wa mali hata alipotakiwa kwenda kujiridhiaha kupitia VAR, akaangalia na akatoa maamuzi ya red card ni sawa.
Akaongeza kituko kingine cha mwaka. Akamaliza mpira dk 89. Japo kulikuwa na cooling time muda mpira uliposimama kuruhusu wachezaji wanywe maji.
Huyu lazima aondoke kama ndugai. CAF hawewezi kumvumilia.
Ni aibu kubwa kwa waandaaji wa haya mashindano.
Waliwahi kumchongea akafungiwa miaka 3.Huyu refa atakuwa ashatendwa na waarabu hivyo ana hasira nao.
Sheria zinasemaje mpira uki malizwa kabla ya dakika 90? Huyu mwamuzi leo katuwashiklisha uafrika wetu nmeona aibu kinoma imagine hio game ina onywesha duniani koteHuyu refaree leo ndio utopolo kabisa. Najisikia aibu kuwa mwafrika. Maana hakuna kitu tunachoweza. Kwanza alimaliza mpira dk ya 85. Kukazuka tafrani, mpira ukaendelea. Akatoa streight red card kwa mchezaji wa mali hata alipotakiwa kwenda kujiridhiaha kupitia VAR, akaangalia na akatoa maamuzi ya red card ni sawa.
Akaongeza kituko kingine cha mwaka. Akamaliza mpira dk 89. Japo kulikuwa na cooling time muda mpira uliposimama kuruhusu wachezaji wanywe maji.
Huyu lazima aondoke kama ndugai. CAF hawewezi kumvumilia.
Ni aibu kubwa kwa waandaaji wa haya mashindano.
Aibu kubwa hiiSheria zinasemaje mpira uki malizwa kabla ya dakika 90? Huyu mwamuzi leo katuwashiklisha uafrika wetu nmeona aibu kinoma imagine hio game ina onywesha duniani kote
Lakini pia huyu Refa Mwaka 2018 Alisimamishwa na CAF kwa Tuhuma za Kupanga matokeo. Lakini Cha Ajabu Alichezesha katika world cup 2018.Refa anapomaliza mpira dk ya 89 ana maana gani? Hata dk za 90 kuna nyongeza pia ,kuna cooling time imetumika Kama dk moja ,hizi ni hujuma ,kuna timu wanaweza kurudisha goli dk za nyongeza na wakaongeza ,najua CAF watamwadhibu ila kwa Tunisia ni hujuma kubwa maana game haitarudiwa.
Naona amejaribu kumaliza mpira kabla ya wakati
Kwanza mara ya kwanza alimaliza dakika ya 85.Watu wakamzonga tena akarudia kosa lile.Kilichotea katika game ya Tunisia vs Mali mbona kama sijaelewa. Game imeisha dk ya 89 na sec 50.
Duh ila refa amekuwa mtemi hatariRefa anapomaliza mpira dk ya 89 ana maana gani? Hata dk za 90 kuna nyongeza pia ,kuna cooling time imetumika Kama dk moja ,hizi ni hujuma ,kuna timu wanaweza kurudisha goli dk za nyongeza na wakaongeza ,najua CAF watamwadhibu ila kwa Tunisia ni hujuma kubwa maana game haitarudiwa.