kipindi flani nilipokuwa nasoma chuo sasa hicho karibia Ina mataifa yote Africa ,Wakenya huwa wanaingizwa kwenye mechi ya watanzania maana ni wachache,ni mechi za wanafunzi mataifa yote,Sasa ikafika zamu ya mechi ya Tanzania kupiga wimbo wake,kumbe kwenye flash waliyopeleka ya wimbo pia kuna wimbo wa Diamond,...Ikapigwa my number diamond feat davido .aisee ilikuwa aibuHawa waandalizi wa haya mashindano wanapata aibu sana. Emagine wimbo wa timu ya taifa wameshinswa kupiga. Kila wakipiga wanakuta sio wenyewe.....
Wala hakuna kitu cha vile, ni game unahisi wameonewa?naona pia kama kuna plan ya kuwakomoa ,hivi rais wa CAF si ndo Mwafrica Kusini?
ile refa anamaliza game dk ya 85 halafu Tunisia wanalalamika wanaendelea hadi dk ya 89 anamaliza na kulikuwa na break ya kunywa maji halafu refa mzambia imekaajeWala hakuna kitu cha vile, ni game unahisi wameonewa?
Wc tutaendelea tu kushirikiAfcon mpaka sasa ina kasoro nyingi sana!! Kwa mtindo huu FIFA wataendelea kutupa nafasi chache sana World Cup
Hebu jiulize huko kwenye mechi za kufuzu ambazo hazipo live, timu zinanyongwaje? Afrika haki haipo aisee!!
They call it Africa, we call it home!!
Hili limetokea kwa timu moja ya kiarabu wakati zipo kama tano, ila pia ukiangalia mazingira ambayo red card imetolewa, utangua refa ana matatizo na hakuwa anabeba upande wowote.ile refa anamaliza game dk ya 85 halafu Tunisia wanalalamika wanaendelea hadi dk ya 89 anamaliza na kulikuwa na break ya kunywa maji halafu refa mzambia imekaaje
Bado magoli ni machacheLeo nahisi kutakuwa na magoli tofauti na siku mbili zilizopita
Kwakweli hata mm tokea nimeanza kuangalia haya mashindano sijawah kuonaHivi kwenye historia ya AFCON hatrick ilishawahi kutokea?
kweli maana magoli hayavukagi 3Kwakweli hata mm tokea nimeanza kuangalia haya mashindano sijawah kuona
Wachezaji haya mashindano wanacheza kama wanafanya hisan
Na hii sio kipindi hiki hata kipindi cha kina etoo drogba hali ni hii hii
ZipoHivi kwenye historia ya AFCON hatrick ilishawahi kutokea?
Imeanza na kasiHii mechi ni Kali sana.
Kati ya mechi kali inaanza Nigeria ,ivory coast na Cameroon
Ivory coast wana ball control halafu wanaonana kishenziImeanza na kasi
Politically – NoHakuna
Ngoja tuone mwisho utakuajeIvory coast wana ball control halafu wanaonana kishenzi