Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #521
Atleast wametutendea hakiMechi tam sana hii Ivory coast wameanza na kasi htr
Jamaa amekiwasha sanaEric Bailly🔥🔥
Mechi haichoshi kutazamaHii mechi inachezwa kiulaya zaidi, pasi na control ya hali ya juu, natamani sana mechi zote zingekuwa hivi, mvuto wa AFCON ungeozeka zaidi.
Atleast wametutendea haki
Kabisa, VAR ya Afcon inakosa consistency kwenye matukio inayohusishwa. Ukiangalia penati za mechi ya tunisia na Mali matukio yanashabihiana na hili la EQG... sasa hatuelewi kipi na kipi wapi ni wapi VAR inahusishwaEquitorial Guinea wamenyimwa tuta
Hii mechi inachezwa kiulaya zaidi, pasi na control ya hali ya juu, natamani sana mechi zote zingekuwa hivi, mvuto wa AFCON ungeozeka zaidi.
Mi naona mara nyingi mpaka wachezaji wenyewe walalamike sana kutaka VAR,wasipomsumbua refa basi anapotezeaKabisa, VAR ya Afcon inakosa consistency kwenye matukio inayohusishwa. Ukiangalia penati za mechi ya tunisia na Mali matukio yanashabihiana na hili la EQG... sasa hatuelewi kipi na kipi wapi ni wapi VAR inahusishwa
Yaani vurugu tuuKabisa, VAR ya Afcon inakosa consistency kwenye matukio inayohusishwa. Ukiangalia penati za mechi ya tunisia na Mali matukio yanashabihiana na hili la EQG... sasa hatuelewi kipi na kipi wapi ni wapi VAR inahusishwa
Refa kasikilizia kidogo afu kaona hamna penatiMi naona mara nyingi mpaka wachezaji wenyewe walalamike sana kutaka VAR,wasipomsumbua refa basi anapotezea
Hii game imeishaje Mkuu ?79' Mauritania 0-1 Gambia