2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Hivi kwenye historia ya AFCON hatrick ilishawahi kutokea?

8CBC3E3C-B8C2-41FC-84E6-C99FCF346C12.jpeg


87AAC105-73B3-48E9-B51E-54233208E007.jpeg


EB3D00B0-8726-4D66-95C5-1F987D2227F1.jpeg


89EFEE37-1FAF-46AD-BE54-641DF661B4D8.jpeg


F38BD95C-7A10-445A-84DD-AA6C6CA07F1D.jpeg


670B730C-BB19-492F-847B-1440CA8FC716.jpeg
 
40' bado Ivory Coast wapo mbele kwa bao 1

Kipa wa Ivory Coast kashachomoa michomo ya wazi kama mitatu hivi
 
Kabisa, VAR ya Afcon inakosa consistency kwenye matukio inayohusishwa. Ukiangalia penati za mechi ya tunisia na Mali matukio yanashabihiana na hili la EQG... sasa hatuelewi kipi na kipi wapi ni wapi VAR inahusishwa
Mi naona mara nyingi mpaka wachezaji wenyewe walalamike sana kutaka VAR,wasipomsumbua refa basi anapotezea
 
Kabisa, VAR ya Afcon inakosa consistency kwenye matukio inayohusishwa. Ukiangalia penati za mechi ya tunisia na Mali matukio yanashabihiana na hili la EQG... sasa hatuelewi kipi na kipi wapi ni wapi VAR inahusishwa
Yaani vurugu tuu
 
Back
Top Bottom