Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #1,161
Ni kweli mkuu, walijiamini kupitilizaMazoea mabaya mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu, walijiamini kupitilizaMazoea mabaya mkuu
AVR ndio nini?Hivi AFCON kuna AVR ya nini, mbona hawaoni kabisa hizi janja janja za waarabu kujiangusha...
Huyo jamaa yako mshauri aendelee kufatilia mechi za NBC Premier League
Sana yan, sema tangu walivoanza game walikuwa kama wamekata tamaaa hiviHahaha wameniuzi Algeria wanacheza kitoto sana
AVR ndio nini?
Wazipate wape goli 3 katika dk 2Uwanja umeinama sana naona Waarabu baada ya sabu wamechangamka sana
siku nyingine kabla ya kuweka mkeka niambieHii ni zaidi ya kudhalilishwa. lol
Naiona dhahama kwa bingwa mtetezi.
OffsideHahah chuma cha nne...
niliiona hata mimi,nakajua refa kachoka Aljeria hawabebeki. WamelifutaHahah chuma cha nne...dah! offside
Umesahau Spain pia mwaka 2014 wakaja wamekariri kikosi cha 2010. Walichofanyiwa kwenye group stage na akina Van Persie, Robben chini Lous Van Gaal hawatasahau kabisa.Aibu iliyoje, nakumbuka World Cup mwaka 2002, Ufaransa akiwa bingwa mtetezi wa taji alitolewa bila ya kushinda hata mechi moja, naona inajirudia huku Afcon