Mkuu game saa ngapi?Kila la kheri Super Eagles, tumekuja kwenye haya mashindano msimu tukiwa tumesahaurika, ni muda wa kuwaonesha tulicho nacho sasa
Saa 4 usiku.Mkuu game saa ngapi?
Shukran Mkuu.Saa 4 usiku.
Saa nne usiku bossMkuu game saa ngapi?
Ahsante. Itabidi nijitahidi kukaa macho niicheck sababu mida hiyo nakuwaga nishaangusha gari. Hahahaaaa.Saa nne usiku boss
Nawaombe Nigeria wakitoka Hawa sitakuwa na timu ya kushabikiaBaada ya mapumziko ya siku mbili tatu, Afcon inarejea leo kwa mechi za mtoano.
Mechi za mtoano huwa hazihitaji ufundi mwingi bali zinahitaji mbinu za kutosha.
Mechi za Leo:
View attachment 2092501
Kwani Mungu ni wa waislamu tu,au nilivyoandika neno Allah ndo nimekuchanganya?
Alafu nishakuelewa kumbe wewe unahisia za dini ndani yake.
Tumekuja kuwania kombe sio kushiriki kama wengineKila la kheri Super Eagles, tumekuja kwenye haya mashindano msimu tukiwa tumesahaurika, ni muda wa kuwaonesha tulicho nacho sasa
Ndugu zangu tungeachana na mambo ya udini au ubaguzi wowote ule wa rangi, tafsiri kubwa ya michezo ni kutuleta pamoja na kusherehekea pamoja tukisahau tofauti zetu,ziwe za kidini Au ubaguzi wa rangi,, michezo hutufanya tusahau yote hayo.. Sasa si vyema kuona mkianzisha mijadara ya kiiman na ubaguzi ndani yake.. Hiyo sio dhima ya michezo...
Tufurahi pamoja ndugu zangu!!
Hahaha ila Ingekuwa ni watoto wa jangwani hiyo mida na uhakika ungebaki kuwasubili uwatizameAhsante. Itabidi nijitahidi kukaa macho niicheck sababu mida hiyo nakuwaga nishaangusha gari. Hahahaaaa.
Hahah ni kweli kabsa mkuu, kandanda linapigwa safi sana na vijanaTumekuja kuwania kombe sio kushiriki kama wengine
Ni kweli hiyo hautakiwi hata kidogo, dhima ya michezo ni kutuleta pamoja... Achana nao mkuuKuna viumbe wameingia na 5G ya udini ndani ya thread ya FORTALEZA wakidhani 2tawakalia kimya. Bado kuna viumbe wana vimelea vya ubaguzi, roho mbaya na chuki ndani ya nyoyo zao. Wakiona unashabikia timu ya waarabu/kiisilamu inavimba kama ipasuke.
Ni kweli hiyo hautakiwi hata kidogo, dhima ya michezo ni kutuleta pamoja... Achana nao mkuu
Hapana Mkuu hata ingekuwa Yanga nisingekaa mie walau game za saa mbili ndo naweza kujitahidi kuangalia mpaka mwisho.Hahaha ila Ingekuwa ni watoto wa jangwani hiyo mida na uhakika ungebaki kuwasubili uwatizame
Mkuu basi yaishe.Wewe ndiyo mdini na mbaguzi na umeonyesha roho mbaya,,,,,,,dahh unatia huruma sana hata aibu huna,,,,unafikiri wote humu wanawachukia waarabu kama unavyo wachukia!!! Afu Unafikiri wote hawazishabikii timu za afrika ya kaskazini!!!!! Ni wale ambao hawajitambui na kuingiza chuki na roho mbaya
Poa chief wangu,,,pa1 sana,,ubarikiwe pia!Mkuu basi yaishe.
Nisamehe yamekwisha,aombae msamaha usamehewa.
nimekosa mimi,,nimekosa mimi,,nimekosa sana.
Jah bless.
Basi sawa mkuu, ni utaratibu mzuri,nmekuelewa vyemaHapana Mkuu hata ingekuwa Yanga nisingekaa mie walau game za saa mbili ndo naweza kujitahidi kuangalia mpaka mwisho.
Yaani ndo nilishajiwekea hivyo.
Poa poa Mkuu.Basi sawa mkuu, ni utaratibu mzuri,nmekuelewa vyema