Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #101
Kocha wa Cameroon inabidi abadili mfumo second half, back 3 yao inavuja sanaHawa burkina faso wanajituma sana na wanawachezaji wenye speed sana.....naona Cameroon ile back 3 yao inaruhusu sana pasi za kupitisha kwenye wing zao
Mdogo mdogoVizuri! Hii inasaidia kutangaza ligi ya taifa husika.
Thanks.
Refa anazimwaga kama njugu[emoji1059] hizi Yellow card mhh
Sana au watanue pembeni au waingize wingbacks za kushambulia na kurudi haraka inaweza saidiaKocha wa Cameroon inabidi abadili mfumo second half, back 3 yao inavuja sana
Dkk hizi ni sahihi wapaki,wamechoka waende mapumziko.Burkinabe wameanza kupaki basi
Refa anagawa kadi kwa spidi ya 4g