Naona bado wanasomana mbinuHii ngoma inachezwa kwa akili mingi asee
Jamaa zenu wa kijani wanakata upepo kimtindo..
Kwa takwimu hizi ni wazi kabisa kuwa Tunisia wanapaki basi
Hapo kwenye kona48% wanapaki basi!
Kuna battle katikati ya uwanjaKwa takwimu hizi ni wazi kabisa kuwa Tunisia wanapaki basi
Na hawa wanaigeria wakikaa vibaya wanawekwa la pili..Tunisa 1-0 Nigeria
Msakni, bonge la goli
Umebeti nini mzee?🤣Dah Nigeria aiseee
Kama utani wanaweza kwenda njeDah Nigeria aiseee
😂😂Umebeti nini mzee?🤣
Wapigwe tuuNa hawa wanaigeria wakikaa vibaya wanawekwa la pili..
Hahaha umeongea kwa uchungu sana mwanangu...kunywa maji kidogoooWalifikiri Tunisia ni egypt eee. Na bado mammae
Nilisema hili mapema tuu...ngoja tuone Nigeria watakuja na mbinu ganiWaarabu wanakaba balaa
Kumbuka muda nao ndio unakimbiaNilisema hili mapema tuu...ngoja tuone Nigeria watakuja na mbinu gani
HahaaaHahaha umeongea kwa uchungu sana mwanangu...kunywa maji kidogooo