Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 664
Kitu tiyari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikwambia awali...kucheza na mwenyeji ni shughuli pevuWamepata walichokuwa wanakitaka waandaaji wa mashindano haya
[emoji16][emoji16][emoji16]Nilikwambia awali...kucheza na mwenyeji ni shughuli pevu
VAR imeharibu sanaMechi bila nyekundu ingenoga zaidi
Huyo si wanasema ni mchezaji wa ndani, Golikipa wao aliumia ile game ya Ghana ninadhan, na hao wengine wana CoronaHamna kipa mule
Hii michuano imekuwa na kadi nyingi sana za nyekundu, sijui shida ni marefa ama ni wachezaji wanatumia nguvu sana!?Mechi bila nyekundu ingenoga zaidi
Huyu ni bek wa kushoto kama sikoseiHuyo si wanasema ni mchezaji wa ndani, Golikipa wao aliumia ile game ya Ghana ninadhan, na hao wengine wana Corona
Ila Africa sijui huu ujinga utaisha lini.
Hawa cameroon mechi waliyocheza bila janjajanja ni moja tu, nyingine zote unaona kabisa wanauwezo wa kawaida tu, hâta hii mechi bila redcard ilikuwa ni mechi ngumu sana.Watapigwa nyingi sasa