Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 664
Aahh wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Cameroon mbeleko inawasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahh wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Cameroon mbeleko inawasaidia
Aisee, muonekano wake tu na jinsi anavyo behave akiwa golini utajua tu huyu sio golikipa, unaona kama anatamani kuingia kati kucheza.Huyu ni bek wa kushoto kama sikosei
The mbelekoAahh wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
hutunzwaNaona Cameroon wanatafutiwa hili kombe kwa udi na uvumba, wao kila mechi ni lazima kuwe na scenario za kuwabeba tu.
Ata mimi siwaoni wakichukua hili kombe.mgongo wa corona utawabeba kwa mechi ya leo tu.Mpira wao niwakawaida sana.Hawa cameroon mechi waliyocheza bila janjajanja ni moja tu, nyingine zote unaona kabisa wanauwezo wa kawaida tu, hâta hii mechi bila redcard ilikuwa ni mechi ngumu sana.
Madogo wako vizuri.wanajiamini na wanajitahidi kusogea mbele sema bado hawajajua namna ya kuziba pengo la mtu mmoja.Wangekua wametimia mechi ingekua nzuri sana.Hawa Comoros sio haba...what a match
Unajiaminisha Jambo lisilo wezekanaAta mimi siwaoni wakichukua hili kombe.mgongo wa corona utawabeba kwa mechi ya leo tu.Mpira wao niwakawaida sana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wenzetu hawahivi hawa Comoros hata nyama si huwa wanakuja kununua Vingunguti hawa? 😅
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Forteleza nitakukumbusha hiyo saa nne, saizi Guine anaenda kumpiga mtu wake then baadae mwenyeji anaenda kushughulikiwa
Hii imekuwa too much!Waswahili husema MCHEZA KWAO HUTUNZWA