gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Labda waendelee na hii mbeleko ya corona.ila kwa mpira huu siwaoni wakitoboa zaidi ya quartel final.Unajiaminisha Jambo lisilo wezekana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda waendelee na hii mbeleko ya corona.ila kwa mpira huu siwaoni wakitoboa zaidi ya quartel final.Unajiaminisha Jambo lisilo wezekana
Ni wapemba walio changamkahivi hawa Comoros hata nyama si huwa wanakuja kununua Vingunguti hawa? 😅
Gambia si washapita mzee
Aboubakar analitafuta goli kwa nguvu sana
Kweli kila mtu na kazi yake, yaani golikipa wa Comoros anavyodaka ni vichekesho, unaona mwenyewe kama anajiuliza pale niliokoaje ule mpira.