Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapendeza tunisia wakipita wakutane na mwenyeji, timu kubwa kama hiyo itatolewaje na katimu kakipumbavu 😀 ni aibu kwa sisi watunisia 😀Kumbe Bado mapema hivyo, ngoma droo hii inaenda matuta na waarabu tunapita.
Wakipita Burkina Fasso unadhani mwenyeji lazima atinge fainali hata kwa mbeleko?Itapendeza tunisia wakipita wakutane na mwenyeji, timu kubwa kama hiyo itatolewaje na katimu kakipumbavu 😀 ni aibu kwa sisi watunisia 😀
Nimesema hapo juuAnaweza kupewa Red huyo dogo aliyefunga goli.
Anatafuta mbeleko ya kumbeba mwarabuHuyu refa amezoea kutumia VAR
Kala umemeAnaweza kupewa Red huyo dogo aliyefunga goli.
Safi
Mie mchezaji anayecheza foul za kipumbavu kama hizo sijawahi kumuonea huruma. Ni hatari sana kwa opponent.Kala umeme
Dk 4[emoji3][emoji3]Lina rudi goli hilo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu refa anawenge sana kadi ya nini tena nje huko