Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Kumbe huyu golikipa Gabaski anadakia Zamalek, ana miaka 33 na mpaka sasa kashachezea timu ya taifa ya Misri michezo minne tu
Wana makipa co mchezo baba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huyu golikipa Gabaski anadakia Zamalek, ana miaka 33 na mpaka sasa kashachezea timu ya taifa ya Misri michezo minne tu
Nafasi kubwa anapewa yule mwingine sijui elshanyw...huyu mshenzi kamprove mrong ...Kumbe huyu golikipa Gabaski anadakia Zamalek, ana miaka 33 na mpaka sasa kashachezea timu ya taifa ya Misri michezo minne tu
Hakuna kombe duniani lenye muonekano mzuri kamba kombe la Afrika.View attachment 2110728
View attachment 2110729
View attachment 2110730
Penalties ... .. can Senegal prevail?
Misri anaenda kuchukua kitoweo chake kwenye mtego wake
Kumbe ulikuwa hujuiKumbe huyu golikipa Gabaski anadakia Zamalek, ana miaka 33 na mpaka sasa kashachezea timu ya taifa ya Misri michezo minne tu
Huyu kipa anaweza akadaka mpaka nyuki
Ina maana hamfikii yule wetu wa mishaleHuyu kipa anaweza akadaka mpaka nyuki
Sana. Huyu jamaa ni true fighterNafasi kubwa anapewa yule mwingine sijui elshanyw...huyu mshenzi kamprove mrong ...
Mpira ndo ulivyo...Sitaki kuamini hii mechi ingefika matuta
Mane!! Mane!!! kombe lilikuwa lenu hili
Anyway who knows!