2023 /2024 Arsenal hatoambulia kikombe chochote tena , Mashabiki wake jiandaeni kisaikolojia

2023 /2024 Arsenal hatoambulia kikombe chochote tena , Mashabiki wake jiandaeni kisaikolojia

Kilichobaki kwenye team zenu ni Kama sisi tu historia historia.
Zaid Zaid mtatamba na uefa, europa mlizochukua miaka hiyo

Haiya ligi si ndio hii, pambaneni tuwaone

Arsenal akifungwa habari ya mjini kila mtua ana anzisha nyuzi[emoji16][emoji16][emoji16].

Tunasema sisi bado ni title contender, tumeanza msimu uliopita na hu tumo.
 
Kilichobaki kwenye team zenu ni Kama sisi tu historia historia.
Zaid Zaid mtatamba na uefa, europa mlizochukua miaka hiyo

Haiya ligi si ndio hii, pambaneni tuwaone

Arsenal akifungwa habari ya mjini kila mtua ana anzisha nyuzi[emoji16][emoji16][emoji16].

Tunasema sisi bado ni title contender, tumeanza msimu uliopita na hu tumo.
Huu Uzi ni wa msimu uliopita jamaa alitabiri hamtashinda chochote mkamtukana lakini mwisho wa siku aliibuka shujaa...
Na hata msimu huu mmerudia kosa lile lile.... Nyie sio title contender Bali ni title pretender
 
Arsenal kama wanataka ubingwa wanatakiwa wamtafute legend mmoja kwenye team kwasababu wale watoto wanacheza kama kwenye academy wanatakiwa wawe na kiongozi kama Milner alivyokuwa liverpool.
 
Arsenal kama wanataka ubingwa wanatakiwa wamtafute legend mmoja kwenye team kwasababu wale watoto wanacheza kama kwenye academy wanatakiwa wawe na kiongozi kama Milner alivyokuwa liverpool.
Hata hiyo beki 3 na 2 zinalazimishwa tu na kocha. Beki mzuri Kieran Tierney kapotezwa na Timber, Ben White wanachezeshwa wrong position unategemea nini?
 
Arsenal kama wanataka ubingwa wanatakiwa wamtafute legend mmoja kwenye team kwasababu wale watoto wanacheza kama kwenye academy wanatakiwa wawe na kiongozi kama Milner alivyokuwa liverpool.
Man City amefungwa mechi 3, mmoja wapo ni Arsenal. Vipi naye Man City anacheza kama academy!
 
Huu Uzi ni wa msimu uliopita jamaa alitabiri hamtashinda chochote mkamtukana lakini mwisho wa siku aliibuka shujaa...
Na hata msimu huu mmerudia kosa lile lile.... Nyie sio title contender Bali ni title pretender
Msimu uliopita vip mkuu 2022-2023

Yeye kasem 2023-2024 msimu huu
 
Man City amefungwa mechi 3, mmoja wapo ni Arsenal. Vipi naye Man City anacheza kama academy!
Hujaongea kimpira umeongea kimuhemko itafakari comment yangu kinachoitesa arsenal ndio kinachoitesa Barcelona huwezi kuondoa identity ya club yote halafu ufanikiwe hata Guardiola alipokuja Manchester city hakuwaondoa mastaa wote kina aguero waliobaki waliokoa jahazi mpaka walipojipata Manchester United the same mistakes yaani hakuna leader kwenye dressing room wote hawaijui historia ya club na wanahitaji mwana saikolojia pia.
 
Hujaongea kimpira umeongea kimuhemko itafakari comment yangu kinachoitesa arsenal ndio kinachoitesa Barcelona huwezi kuondoa identity ya club yote halafu ufanikiwe hata Guardiola alipokuja Manchester city hakuwaondoa mastaa wote kina aguero waliobaki waliokoa jahazi mpaka walipojipata Manchester United the same mistakes yaani hakuna leader kwenye dressing room wote hawaijui historia ya club na wanahitaji mwana saikolojia pia.
Kwenye ligi bingwa ni mmoja tu,, vipi timu zenye identity, leader anayeijua club na mwana saikolojia ila hawachukui ubingwa, nao wanahitaji nini?
 
Fulham 2-1 Arsenal

Screenshot_2023-12-31-22-21-46-1.png
 
Back
Top Bottom