2024 ikiwezekana acha pombe kabisa

2024 ikiwezekana acha pombe kabisa

Wewe juisi imekufikisha wapi mkuu😂 swala la pombe achana nalo nenda kanisani ukasali misa ya mwaka mpya tu na utowe maokoto kwa mfumo wa Zaka
Habari za Janabi, mambo ya matunda na mbogamboga yamewapa umuhim gani kayika jamii hasa kiuchuli🤣
 
Sasa pombe wanywe wengine tabu upate wewe, hizi habari kawahubirie wanao!
 
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!!

na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia


Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe.

-Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume

-kwa taarifa yako! Pombe inapunguza sana ufanisi wako kitandani.

-kuna siku Pombe itaharibu ndoa yako.

-kuna siku Pombe itaharibu kazi yako na biashara.

-kuna namna Pombe inaharibu maisha yako ya baadae.

-Na ni ukweli usiopingika...Pombe inakuweka mbali na MUNGU

-pombe ni chanzo cha fikra potovu

N.k


Hebu tafakari....na ujiulize swali hili jepesi tu!!

Imekupatia faida gani POMBE tangu ulivyo anza kuinywa mpaka mwisho wa mwaka 2023!!!!

NI mara ngapi POMBE imekutoa machozi!!??

Ni mara ngapi....pombe imekugombanisha na watu???

Iko wapi HESHIMA YAKO???


Kuna watu humu pombe imewaingiza kwenye matatzo makubwa SANA!!

So guys kama inawezekana ... Achana kabisa na POMBE

Sijasema achana na Baby wako ....nmesema Achana na POMBE

Kwani ugumu uko wapi???????

Unashindwa nini kuacha POMBE??????

Ni kitu gani hasa ..kina kufanya ushindwe kuacha POMBE??

Unajisikiaje....unapo nyooshewa vidole kila kona upitapo???

Utakuwa mtumwa wa...hivi vinywaji mpaka lini???


Wakati mwingine unaamka kichwa kizito!!!!! Kinauma!!!! Wakati mwingine Umeumia!!!!! Lakini bado umo!!!

Ukiacha pombe utapungukiwa nn???

Ni ushamba tu!!! Kama ushamba mwingine.....!!

Eti kuweka heshima baa?[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kabisaaa
Nan alikwambia HESHIMA inawekwa Baa???

Huna wazazi wewe?? Huna watoto????

Haya...niwaone KWENYE comments walevi wote...na mkiri
Kwamba...mmeacha POMBE!! Karibun walevi


simple!!
Soma vizuri historia ya wanadamu, tangu kuumbwa kwa binadamu pombe imekuwa karibu naye na ni shehemu ya maisha ya hapa duniani na ndio maana kila jamii ina pombe yake inayotokana na mazingira yanayolizunguka. Pombe unachangamsha, inaburudisha, inapatanisha, inaunganisha, inarekebisha nk ikitumika kwa kiasi. Ana raha gani mtu aliyekunywa pombe? Maisha ni mafupi mno kila mtu ayafurahie kwa kadri nafsi yake itakavyomtuma, tusipangiane
 
Huitakii nchi mema

Unataka mapato ya serikali yashuke alaaas

Wewe ni muhujumu uchumi 😂😂😂
 
Sawa,mwaka mpya na mambo mapya,ushauri mzuri...
 
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!!

na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia


Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe.

-Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume

-kwa taarifa yako! Pombe inapunguza sana ufanisi wako kitandani.

-kuna siku Pombe itaharibu ndoa yako.

-kuna siku Pombe itaharibu kazi yako na biashara.

-kuna namna Pombe inaharibu maisha yako ya baadae.

-Na ni ukweli usiopingika...Pombe inakuweka mbali na MUNGU

-pombe ni chanzo cha fikra potovu

N.k


Hebu tafakari....na ujiulize swali hili jepesi tu!!

Imekupatia faida gani POMBE tangu ulivyo anza kuinywa mpaka mwisho wa mwaka 2023!!!!

NI mara ngapi POMBE imekutoa machozi!!??

Ni mara ngapi....pombe imekugombanisha na watu???

Iko wapi HESHIMA YAKO???


Kuna watu humu pombe imewaingiza kwenye matatzo makubwa SANA!!

So guys kama inawezekana ... Achana kabisa na POMBE

Sijasema achana na Baby wako ....nmesema Achana na POMBE

Kwani ugumu uko wapi???????

Unashindwa nini kuacha POMBE??????

Ni kitu gani hasa ..kina kufanya ushindwe kuacha POMBE??

Unajisikiaje....unapo nyooshewa vidole kila kona upitapo???

Utakuwa mtumwa wa...hivi vinywaji mpaka lini???


Wakati mwingine unaamka kichwa kizito!!!!! Kinauma!!!! Wakati mwingine Umeumia!!!!! Lakini bado umo!!!

Ukiacha pombe utapungukiwa nn???

Eti POMBE ndo mwenza wako kweli??? Ama utosi bado unacheza!!

Ni ushamba tu!!! Kama ushamba mwingine.....!!

Eti kuweka heshima baa?[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kabisaaa
Nan alikwambia HESHIMA inawekwa Baa???

Huna wazazi wewe?? Huna watoto????

Haya...niwaone KWENYE comments walevi wote...na mkiri
Kwamba...mmeacha POMBE!! Karibun walevi


simple!!
Kodi za soda haziwezi kukutengenezea barabara! Acha gambe litembee
 
Hivi pombe na mbususu kipi kibaya?
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!!

na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia


Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe.

-Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume

-kwa taarifa yako! Pombe inapunguza sana ufanisi wako kitandani.

-kuna siku Pombe itaharibu ndoa yako.

-kuna siku Pombe itaharibu kazi yako na biashara.

-kuna namna Pombe inaharibu maisha yako ya baadae.

-Na ni ukweli usiopingika...Pombe inakuweka mbali na MUNGU

-pombe ni chanzo cha fikra potovu

N.k


Hebu tafakari....na ujiulize swali hili jepesi tu!!

Imekupatia faida gani POMBE tangu ulivyo anza kuinywa mpaka mwisho wa mwaka 2023!!!!

NI mara ngapi POMBE imekutoa machozi!!??

Ni mara ngapi....pombe imekugombanisha na watu???

Iko wapi HESHIMA YAKO???


Kuna watu humu pombe imewaingiza kwenye matatzo makubwa SANA!!

So guys kama inawezekana ... Achana kabisa na POMBE

Sijasema achana na Baby wako ....nmesema Achana na POMBE

Kwani ugumu uko wapi???????

Unashindwa nini kuacha POMBE??????

Ni kitu gani hasa ..kina kufanya ushindwe kuacha POMBE??

Unajisikiaje....unapo nyooshewa vidole kila kona upitapo???

Utakuwa mtumwa wa...hivi vinywaji mpaka lini???


Wakati mwingine unaamka kichwa kizito!!!!! Kinauma!!!! Wakati mwingine Umeumia!!!!! Lakini bado umo!!!

Ukiacha pombe utapungukiwa nn???

Eti POMBE ndo mwenza wako kweli??? Ama utosi bado unacheza!!

Ni ushamba tu!!! Kama ushamba mwingine.....!!

Eti kuweka heshima baa?[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kabisaaa
Nan alikwambia HESHIMA inawekwa Baa???

Huna wazazi wewe?? Huna watoto????

Haya...niwaone KWENYE comments walevi wote...na mkiri
Kwamba...mmeacha POMBE!! Karibun walevi


simple!!
 
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!!

na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia


Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe.

-Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume

-kwa taarifa yako! Pombe inapunguza sana ufanisi wako kitandani.

-kuna siku Pombe itaharibu ndoa yako.

-kuna siku Pombe itaharibu kazi yako na biashara.

-kuna namna Pombe inaharibu maisha yako ya baadae.

-Na ni ukweli usiopingika...Pombe inakuweka mbali na MUNGU

-pombe ni chanzo cha fikra potovu

N.k


Hebu tafakari....na ujiulize swali hili jepesi tu!!

Imekupatia faida gani POMBE tangu ulivyo anza kuinywa mpaka mwisho wa mwaka 2023!!!!

NI mara ngapi POMBE imekutoa machozi!!??

Ni mara ngapi....pombe imekugombanisha na watu???

Iko wapi HESHIMA YAKO???


Kuna watu humu pombe imewaingiza kwenye matatzo makubwa SANA!!

So guys kama inawezekana ... Achana kabisa na POMBE

Sijasema achana na Baby wako ....nmesema Achana na POMBE

Kwani ugumu uko wapi???????

Unashindwa nini kuacha POMBE??????

Ni kitu gani hasa ..kina kufanya ushindwe kuacha POMBE??

Unajisikiaje....unapo nyooshewa vidole kila kona upitapo???

Utakuwa mtumwa wa...hivi vinywaji mpaka lini???


Wakati mwingine unaamka kichwa kizito!!!!! Kinauma!!!! Wakati mwingine Umeumia!!!!! Lakini bado umo!!!

Ukiacha pombe utapungukiwa nn???

Eti POMBE ndo mwenza wako kweli??? Ama utosi bado unacheza!!

Ni ushamba tu!!! Kama ushamba mwingine.....!!

Eti kuweka heshima baa?[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kabisaaa
Nan alikwambia HESHIMA inawekwa Baa???

Huna wazazi wewe?? Huna watoto????

Haya...niwaone KWENYE comments walevi wote...na mkiri
Kwamba...mmeacha POMBE!! Karibun walevi


simple!!
Usicholkijua pita kwenye uraibu wa pombe ndio uje utoe ushauri, lkn kama hujui kabisa na unaona tuu, no no ingia ucheze kwanza ukitoka toa nasaha, andika kitabu nakadhalika.
 
Wkt huu wa red eyes, nikipiga zangu gambe macho kama yai. Naumwa macho mie kumbe pombeka.


Niliwahi kumpa mimba beki3
 
January inapita kavu hii.

Yani tangu kunywa Champagne ya kukaribisha 2024 mkesha wa mwaka mpya sijagusa vyombo tena mpaka sasa naona January inaenda kuisha hii.

Na mwendo ni huu huu mwaka mzima.

Bia, wine, zipo kwenye friji naziangalia tu. Scotch, Vodka, Gin zipo naziangalia tu mwaka huu nimezigomea.
 
January inapita kavu hii.

Yani tangu kunywa Champagne ya kukaribisha 2024 mkesha wa mwaka mpya sijagusa vyombo tena mpaka sasa naona January inaenda kuisha hii.

Na mwendo ni huu huu mwaka mzima.

Bia, wine, zipo kwenye friji naziangalia tu. Scotch, Vodka, Gin zipo naziangalia tu mwaka huu nimezigomea.
Wewe unahamia kwenye umalaya na ombea usipate goma lenye umeme.

Ukihamia huko una hati hati kula wake za watu, utaulkufaga zee
 
Wewe unahamia kwenye umalaya na ombea usipate goma lenye umeme.

Ukihamia huko una hati hati kula wake za watu, utaulkufaga zee
Wabongo kama wewe ni kawaida yenu hata msipopewa picha mnajazia tu mnayotaka. Hivyo siwezi kukushangaa.

Nimekukosea nini katika maisha haya?

Kwa nini hampendi kusikia habari nzuri za mtu? Kwa nini mnaumwa sana kijiba cha moyo mkisikia mtu kajipangia malengo yake na anayatimiza?

Mtu humjui ushaanza kumuwangia habari za umalaya?

Yani sehemu ambayo wenzetu wanakusindikiza na "I wish you every success in your sobriety journey" sisi tunabwengana na "Wewe utaishia kwenye umalaya tu"?.

Halafu bado tutatafuta mchawi wetu kwa nini hatuendelei?

With friends like these, who needs friends?
 
Ila pombe basi asee , nina mtu wangu wa karibu pombe zina mhangaisha saana. Anaweza atulie wiki tuu asinywe siku inyofuata anakunywa hadi anajikojolea na anasahau hadi nyumbani. Mungu amsaidie aweze kuacha maana ni tatizo.
 
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!!

na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia


Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe.

-Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume

-kwa taarifa yako! Pombe inapunguza sana ufanisi wako kitandani.

-kuna siku Pombe itaharibu ndoa yako.

-kuna siku Pombe itaharibu kazi yako na biashara.

-kuna namna Pombe inaharibu maisha yako ya baadae.

-Na ni ukweli usiopingika...Pombe inakuweka mbali na MUNGU

-pombe ni chanzo cha fikra potovu

N.k


Hebu tafakari....na ujiulize swali hili jepesi tu!!

Imekupatia faida gani POMBE tangu ulivyo anza kuinywa mpaka mwisho wa mwaka 2023!!!!

NI mara ngapi POMBE imekutoa machozi!!??

Ni mara ngapi....pombe imekugombanisha na watu???

Iko wapi HESHIMA YAKO???


Kuna watu humu pombe imewaingiza kwenye matatzo makubwa SANA!!

So guys kama inawezekana ... Achana kabisa na POMBE

Sijasema achana na Baby wako ....nmesema Achana na POMBE

Kwani ugumu uko wapi???????

Unashindwa nini kuacha POMBE??????

Ni kitu gani hasa ..kina kufanya ushindwe kuacha POMBE??

Unajisikiaje....unapo nyooshewa vidole kila kona upitapo???

Utakuwa mtumwa wa...hivi vinywaji mpaka lini???


Wakati mwingine unaamka kichwa kizito!!!!! Kinauma!!!! Wakati mwingine Umeumia!!!!! Lakini bado umo!!!

Ukiacha pombe utapungukiwa nn???

Eti POMBE ndo mwenza wako kweli??? Ama utosi bado unacheza!!

Ni ushamba tu!!! Kama ushamba mwingine.....!!

Eti kuweka heshima baa?[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kabisaaa
Nan alikwambia HESHIMA inawekwa Baa???

Huna wazazi wewe?? Huna watoto????

Haya...niwaone KWENYE comments walevi wote...na mkiri
Kwamba...mmeacha POMBE!! Karibun walevi


simple!!
Katika watu wanaopigwa vita sana basi ni wanywaji.
 
Ila pombe basi asee , nina mtu wangu wa karibu pombe zina mhangaisha saana. Anaweza atulie wiki tuu asinywe siku inyofuata anakunywa hadi anajikojolea na anasahau hadi nyumbani. Mungu amsaidie aweze kuacha maana ni tatizo.
Aisee.

Inaonesha anaibiwa sana pesa akilewa.

Asipoangalia huyo atapoteza marinda akinusurika sana basi atavunjiwa yai.
 
Back
Top Bottom