2024 Kilimo kimewatoa Wachina Milioni 33 Kwenye Ufukara.Tukiuliza SGR imeondoa Watu Wangapi kwenye Umaskini Majibu ni matusi.Tuna shida ya Vipaombele

2024 Kilimo kimewatoa Wachina Milioni 33 Kwenye Ufukara.Tukiuliza SGR imeondoa Watu Wangapi kwenye Umaskini Majibu ni matusi.Tuna shida ya Vipaombele

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kupanga ni kuchagua ila hapa Tanzania Sina hakika kama.tunajua kuchagua mipango ya kipo kianze au kipi kifuate.

China imeripoti kwamba mwaka 2024 imewatoa Wachina zaidi ya Milioni 33 kutoka kwenye ufukara Kwa kutumia sekta ya Kilimo baada ya serikali Yao kuwekeza huko Kwa Nguvu zote.

Hao watu walioondolewa kwenye umaskini wengi wao walikuwa na kazi za vibarua ama mashambani au mjini kwenye viwanda nk.

Tukiacha China ,hivyo hivyo ndivyo Nchi nyingi za Asia zinafanya mfano Vietnam.

View: https://www.instagram.com/p/DDBAVvZpJZm/?igsh=MWllM2ZoNXJhbGdqag==

Hapa Tanzania Huwa tunakurupuka tuu na miradi ya Kisiasa ya kupigia picha na bahati mbaya mafukara nao Kwa kuwa hawajieleqi kwamba ufukara wao umehatibu Hadi akili wanashangilia mambo ya Wanasiasa wavivu wa kufikiria Kwa kufanya miradi cheap na isiyo ya msingi.

Kiongozi yeyote anaejitambua lazima atafahamu idadi ya maskini na mafukara kwenye Nchi yake na hivyo atatekeleza miradi Ile ambayo itaondoa au kupunguza ufukara na sio kama inavyofanyika hapa Tanzania.

Tanzania yetu hii Kuna juhudi zinafanya lakini ni kidogo sana na haziwezi kuondoa umaskini hasa wa kipato.Ndio maana Umeme uko Kila Kijiji ila unakuta kaya zilizounganisha hazifiki hata 20.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1881711347450180073?t=a1jDQDpke3_H8USZQ-NRUA&s=19

My Take
Nchi iache miradi ya maonesho na kupigia picha Bali wafanye miradi ya kusaidia watu kuondokana na umaskini mfano Kilimo,uvuvi,ufugaji, biashara,Utalii na viwanda Vidogo.

Vietnam Ina Uchumi mara 5 ya Tanzania yaani $420bln vs $80bln respectively lakini wanaanza mradi wa Ujenzi wa Sgr 2027.Hawana mda wa kuzika hela kama tunavyofanya Kwa miradi ya kupigia picha.Pia soma Kwa miaka 8 tumetumia Trilioni 27 kwenye SGR na ATCL tu. Hii nchi umaskini tunajitakia wenyewe kuwa na vipaumbele vya ovyo

Kama tunaendelea na utaratibu huu basi idadi ya maskini itazidi kuongezeka maana tuko top 5 ya Nchi Zenye maskini wengi Africa.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879152795099742531?t=gYrRQUM4cTqzwG3yPxVhSQ&s=19

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879891363426144686?t=zwPnTaHnoJPxoJIS_pNGjg&s=19
 
Kupanga ni kuchagua ila hapa Tanzania Sina hakika kama.tunajua kuchagua mipango ya kipo kianze au kipi kifuate.

China imeripoti kwamba mwaka 2024 imewatoa Wachina zaidi ya Milioni 33 kutoka kwenye ufukara Kwa kutumia sekta ya Kilimo baada ya serikali Yao kuwekeza huko Kwa Nguvu zote.

Hao watu walioondolewa kwenye umaskini wengi wao walikuwa na kazi za vibarua ama mashambani au mjini kwenye viwanda nk.

Tukiacha China ,hivyo hivyo ndivyo Nchi nyingi za Asia zinafanya.

Hapa Tanzania Huwa tunakurupuka tuu na miradi ya Kisiasa ya kupigia picha na bahati mbaya mafukara nao Kwa kuwa hawajieleqi kwamba ufukara wao umehatibu Hadi akili wanashangilia mambo ya Wanasiasa wavivu wa kufikiria Kwa kufanya miradi cheap na isiyo ya msingi.

Kiongozi yeyote anaejitambua lazima atafahamu idadi ya maskini na mafukara kwenye Nchi yake na hivyo atatekeleza miradi Ile ambayo itaondoa au kupunguza ufukara na sio kama inavyofanyika hapa Tanzania.

Tanzania yetu hii Kuna juhudi zinafanya lakini ni kidogo sana na haziwezi kuondoa umaskini hasa wa kipato.Ndio maana Umeme uko Kila Kijiji ila unakuta kaya zilizounganisha hazifiki hata 20.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1881711347450180073?t=a1jDQDpke3_H8USZQ-NRUA&s=19

My Take
Nchi iache miradi ya maonesho na kupigia Bali wafanye miradi ya kusaidia watu kuondokana na umaskini mfano Kilimo,uvuvi,ufugaji, biashara,Utalii na viwanda Vidogo.

Vietnam Ina Uchumi mara 5 ya Tanzania yaani $420bln vs $80bln respectively lakini wanaanza mradi wa Ujenzi wa Sgr 2027.Hawana mda wa kuzika hela kama tunavyofanya Kwa miradi ya kupigia picha.

Kama tunaendelea na utaratibu huu basi idadi ya maskini itazidi kuongezeka maana tuko top 5 ya Nchi Zenye maskini wengi Africa.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879152795099742531?t=gYrRQUM4cTqzwG3yPxVhSQ&s=19

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879891363426144686?t=zwPnTaHnoJPxoJIS_pNGjg&s=19

We all know miradi hii nchi hii inaanzishwankwa nia njema, but then politics zinaingia mzigo uaangukia kwa mwananchi
 
We all know miradi hii nchi hii inaanzishwankwa nia njema, but then politics zinaingia mzigo uaangukia kwa mwananchi
Nia njema kwenye mradi ambao hauna impacts Kwa majority poors?

80% ya Barabara ni mavumbi na huko kwenye mavumbi ndio majority wanaishi na zingine hazifikiki.

Hizo Sgr Zina msaidia nani? Si unaona wanatoa data za watu waliosafiri na Mapato ila hawatoi running cost ,unajua Kwa nini wanaoficha upande wa pili?
 
Kupanga ni kuchagua ila hapa Tanzania Sina hakika kama.tunajua kuchagua mipango ya kipo kianze au kipi kifuate.

China imeripoti kwamba mwaka 2024 imewatoa Wachina zaidi ya Milioni 33 kutoka kwenye ufukara Kwa kutumia sekta ya Kilimo baada ya serikali Yao kuwekeza huko Kwa Nguvu zote.

Hao watu walioondolewa kwenye umaskini wengi wao walikuwa na kazi za vibarua ama mashambani au mjini kwenye viwanda nk.

Tukiacha China ,hivyo hivyo ndivyo Nchi nyingi za Asia zinafanya.

Hapa Tanzania Huwa tunakurupuka tuu na miradi ya Kisiasa ya kupigia picha na bahati mbaya mafukara nao Kwa kuwa hawajieleqi kwamba ufukara wao umehatibu Hadi akili wanashangilia mambo ya Wanasiasa wavivu wa kufikiria Kwa kufanya miradi cheap na isiyo ya msingi.

Kiongozi yeyote anaejitambua lazima atafahamu idadi ya maskini na mafukara kwenye Nchi yake na hivyo atatekeleza miradi Ile ambayo itaondoa au kupunguza ufukara na sio kama inavyofanyika hapa Tanzania.

Tanzania yetu hii Kuna juhudi zinafanya lakini ni kidogo sana na haziwezi kuondoa umaskini hasa wa kipato.Ndio maana Umeme uko Kila Kijiji ila unakuta kaya zilizounganisha hazifiki hata 20.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1881711347450180073?t=a1jDQDpke3_H8USZQ-NRUA&s=19

My Take
Nchi iache miradi ya maonesho na kupigia Bali wafanye miradi ya kusaidia watu kuondokana na umaskini mfano Kilimo,uvuvi,ufugaji, biashara,Utalii na viwanda Vidogo.

Vietnam Ina Uchumi mara 5 ya Tanzania yaani $420bln vs $80bln respectively lakini wanaanza mradi wa Ujenzi wa Sgr 2027.Hawana mda wa kuzika hela kama tunavyofanya Kwa miradi ya kupigia picha.

Kama tunaendelea na utaratibu huu basi idadi ya maskini itazidi kuongezeka maana tuko top 5 ya Nchi Zenye maskini wengi Africa.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879152795099742531?t=gYrRQUM4cTqzwG3yPxVhSQ&s=19

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879891363426144686?t=zwPnTaHnoJPxoJIS_pNGjg&s=19

Ni ID yako au imevamiwa? Vipi Bashe mipango yake ya kilimo si itatutoa kwenye ufukara mkuu au wewe unaionaje?
Shida ya Afrika sio pesa wala rasilimali, bali ni vipaumbele. Hakunaga budget ya mambo ya maana ila mambo ya kupiga picha yana budget.
Si juzi tu mlikuwa mnashangilia tena masikini ndiyo wamejazana barabarani kushangilia msafara wa basi na wasanii kuelekea dodoma. Hawajiulizi ni pesa kiasi gani inateketezwa na ingeweza kufanya mambo mangapi ya maana.
Najua utatetea hili maana na wewe ni chapendeza.
 
Hivi wanafanyaje lakini yani dah mpaka kuna wakati mtu unapatwa na hasira why this nation is so poor despite having abundance of resources
Mbona simple tuu si wanawekeza kwenye sekta ambazo Kuna majority na wanadhibiti uzembe na wizi wa Mali ya Umma ,hivyo tuu.
 
Watu Siasa safi na UONGOZI BORA something is missing there..tumejikita kwenye BORA UONGOZI ukiwa Chawa unalamba teuzi.
 
Ni ID yako au imevamiwa? Vipi Bashe mipango yake ya kilimo si itatutoa kwenye ufukara mkuu au wewe unaionaje?
Shida ya Afrika sio pesa wala rasilimali, bali ni vipaumbele. Hakunaga budget ya mambo ya maana ila mambo ya kupiga picha yana budget.
Si juzi tu mlikuwa mnashangilia tena masikini ndiyo wamejazana barabarani kushangilia msafara wa basi na wasanii kuelekea dodoma. Hawajiulizi ni pesa kiasi gani inateketezwa na ingeweza kufanya mambo mangapi ya maana.
Najua utatetea hili maana na wewe ni chapendeza.
Ipo lakini sikubalianj na mipango ya Jumla Jumla ,ukitaka utekelezaji uwe mzuri inatakiwa kugawa zone kulingana na mazao machache ya Vipaombele.
 
Kupanga ni kuchagua ila hapa Tanzania Sina hakika kama.tunajua kuchagua mipango ya kipo kianze au kipi kifuate.

China imeripoti kwamba mwaka 2024 imewatoa Wachina zaidi ya Milioni 33 kutoka kwenye ufukara Kwa kutumia sekta ya Kilimo baada ya serikali Yao kuwekeza huko Kwa Nguvu zote.

Hao watu walioondolewa kwenye umaskini wengi wao walikuwa na kazi za vibarua ama mashambani au mjini kwenye viwanda nk.

Tukiacha China ,hivyo hivyo ndivyo Nchi nyingi za Asia zinafanya.

Hapa Tanzania Huwa tunakurupuka tuu na miradi ya Kisiasa ya kupigia picha na bahati mbaya mafukara nao Kwa kuwa hawajieleqi kwamba ufukara wao umehatibu Hadi akili wanashangilia mambo ya Wanasiasa wavivu wa kufikiria Kwa kufanya miradi cheap na isiyo ya msingi.

Kiongozi yeyote anaejitambua lazima atafahamu idadi ya maskini na mafukara kwenye Nchi yake na hivyo atatekeleza miradi Ile ambayo itaondoa au kupunguza ufukara na sio kama inavyofanyika hapa Tanzania.

Tanzania yetu hii Kuna juhudi zinafanya lakini ni kidogo sana na haziwezi kuondoa umaskini hasa wa kipato.Ndio maana Umeme uko Kila Kijiji ila unakuta kaya zilizounganisha hazifiki hata 20.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1881711347450180073?t=a1jDQDpke3_H8USZQ-NRUA&s=19

My Take
Nchi iache miradi ya maonesho na kupigia Bali wafanye miradi ya kusaidia watu kuondokana na umaskini mfano Kilimo,uvuvi,ufugaji, biashara,Utalii na viwanda Vidogo.

Vietnam Ina Uchumi mara 5 ya Tanzania yaani $420bln vs $80bln respectively lakini wanaanza mradi wa Ujenzi wa Sgr 2027.Hawana mda wa kuzika hela kama tunavyofanya Kwa miradi ya kupigia picha.

Kama tunaendelea na utaratibu huu basi idadi ya maskini itazidi kuongezeka maana tuko top 5 ya Nchi Zenye maskini wengi Africa.

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879152795099742531?t=gYrRQUM4cTqzwG3yPxVhSQ&s=19

View: https://x.com/ChenMingjian_CN/status/1879891363426144686?t=zwPnTaHnoJPxoJIS_pNGjg&s=19

Wewe usiwe unakurupuka na kuandika uozo. Unajua network ya railway zilizojengwa China? Hao millioni 30 wangesafirisha mazao yapi kivipi? Halafu uelewe kama ni infrastructure investment ni serikali ndiyo inahusika zaidi kujenga. Wakulima walihimizwa kulima na kupewa subsidies, serikali ya Tanzania lazima iwe inawahimiza wakulima wake kulima na wawape subsidies. China ardhi inakodishwa kwa wakulima, Tanzania ardhi bure karibu sehemu nyingi. Uvivu na ukosekanaji wa ubunifu kwa serikali na wakulima ndiyo unaleta umasikini.

SGR investment na uhmizwaji kwa wakulima kufanya kazi vinaenda simultaneously.
 
Mfano kila mkoa uwe na kipa umbele chake, kama morogoro tuseme tulime ndizi, miwa, mahindi, mpunga harafu tu na viwanda ambavyo mtu akivuna tu mfano pilipil kiwanda kinanunua.

Hakuna mtu angeshinda mjini anauza pipi wakati akijua anawezeshwa fedha za kilimo na anapovuna anauhakika wa kuuza.

Tuna mapoli tele ya kufanya ufugaji, kiasi kwamba tungeuza kuku, mbuzi, ng'ombe huko kwenye nchi za ukame na barafu.

Tumezunguukwa na maji, bahari, maziwa, mabwawa lakini nchi hii kula samaki ni anasa kama tunaishi landlocked, hivi tungewekeza kwenye uvuvi tungeanzia soko la ndani harafu tuvuke border.

Yaan sisi tumefanikiwa kutengeneza VIBAO VYA MBUZI TU
 
China imefanikiwa sababu ina miundombinu tayari. Hizi SGR, umeme, viwanda tayari vipo. Haya mambo yanafanya kazi sambamba.

TZ ikiweka nguvu yote kwenye kilimo wakati miundombinu mingine ipo nyuma ni kutwanga maji kwenye kinu. Ajabu umeshindwa kung'amua hilo.
 
Ipo lakini sikubalianj na mipango ya Jumla Jumla ,ukitaka utekelezaji uwe mzuri inatakiwa kugawa zone kulingana na mazao machache ya Vipaombele.
Yale ni mambo ya political mileage impact yake itakuwa ndogo sana.
Tunajua kuandaa mipango na kuipamba kwa maneno ya kiingereza lakini in reality haiko applicable. Tuliona kwenye kilimo kwanza, na hii haitakuwa na tofauti sana na kilimo kwanza.
 
Back
Top Bottom