2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 4 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285

Bado siku 4 tu kufikia Septemba 21, 2024, ambapo tuzo zitatolewa kwa Washindi wa Awamu ya 4 ya Shindano la Stories of Change (SoC).

Mwaka huu (2024), kupitia maandiko ya washiriki kwa ubunifu mkubwa yamelenga kuboresha mustakabali wa Tanzania kwa kipindi cha Miaka 5-25, kwa kuzingatia Dhima ya Shindano Tanzania Tuitakayo.

Aidha, mbali na tuzo kwa Washindi wa maandiko bora, pia kutakuwa na kutambua mchango wa Wazalishaji Bora wa maudhui ndani ya JamiiForums.com kwa ushiriki wao katika majukwaa.
 
Mimi naomba andiko lisiangaliwe Kwa kura nyingi kuondosha ufonzaji
 
Tunasubiri Kwa Hamu kûbwa
Muhimu;
1. Je itakuwa Live kwèñye baadhi ya channel íwe ni online channel au hizi broadcast kuu. Au Jamiiforum online TV

2. Muhimu Kujua Location
 
please naombeni utaratibu wa kupata zawadi yangu. nikiwa kama mshindi wa 5 wa stories of change natumia jina Angyelile99 but majina yangu kamili Ni bonifas Angyelile kayinga mwenye namba sa sim 0678895834 au 0626402882
 
please naombeni utaratibu wa kupata zawadi yangu. nikiwa kama mshindi wa 5 wa stories of change natumia jina Angyelile99 but majina yangu kamili Ni bonifas Angyelile kayinga mwenye namba sa sim 0678895834 au 0626402882
Kama umeshinda utaitwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…