2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Kama kuna thamani anayoingeza katika mahusiano yenu uyo ni sawa kabisa. Kuna wanawake wengine ukiondoa sex hakuna anacho offer kwenye mahusiano, hawa ni wale wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha gharama za shida na tamaa zake za kufukuzana na fashion za nguo na matoleo mapya ya iphone.
 
Wanaume tumeumbwa mateso bwana mkuu
Dawa yake mpe pesa, akileta za kuleta mpe tena pesa.akitaka kukuacha mpe tena pesa. Dozi ni pesa kutwa mara 3 itatibu magonjwa yote
 
Mtu kapewa mimba Songea huko
Kausha damu wa Dar atapataje funzo?
Kausha damu wapo kila sehemu. Hata mikoani uko kuna smart phone wanajua kila kitu kinachoendelea mjini na wao wanaenda na trend. Hawe Songea, Kigoma, Kahama popote pale binti akileta pigo za kausha damu ni mwendo wa hit and run
 
Hakika. Kuna best yangu Juzi alinipigia simu anasema hana hata hela ya kula...nikampotezea. jana namkuta kamnunulia mama yake zawadi ya laki 1.
 
Sasa piga Mashine kimbia
 
Wanaume tumeumbwa mateso bwana mkuu
Dawa yake mpe pesa, akileta za kuleta mpe tena pesa.akitaka kukuacha mpe tena pesa. Dozi ni pesa kutwa mara 3 itatibu magonjwa yote
Hii misemo ya wanaume tumeumbwa mateso, kitanda hakizai halamu na mingine inayomtengenezea mwanaume fikra ya kukumbatia mateso hata kama ana nafasi ya kujinasua ni ya kipuuzi ndio misemo inayosababisha wanaume wanajibebesha tabu ambazo wangeweza kuziepuka, wanang'ang'ania limwanamke libinafsi, lisilokua na adamu na limalaya lililokubuu. limwanamke limefanya umalaya wake limekuletea mimba isiyokua yako halafu ulee tu eti kitanda hakizai halamu, limwanamke lichoyo, libinafsi, halina shukrani, halilidhiki, haliongezi value yoyote kwenye mahusiano uendelee kulilea tu eti wanaume tumeumbwa mateso.! that is total bullshit. Iyo misemo ni ya kizamani haipaswi kupewa kipaumbele kwenye kizazi hiki cha wanawake wadangaji na kausha damu.
 
Unakutana na dem hata halina challenge ya maisha, biashara au mbinu za mapambano. Mimi baba yangu mzazi alikutana na mama yangu kwenye mishe za kutafuta maisha….mzee akanichana live mama yako mpambanaji haswa kwa jasho na damu hela ametafuta….na hii inapelekea hata men kuheshimu mwanamke wa hivi tena at tyms u fear such a woman…..

Sasa haya mengine yanawekeza kwenye bata na fashion tu…..vichwa maji zero challenge yet anataka umpe hela ambayo chances haitolei maelezo yaliyo nyooka au value.

Hawa unapiga mashine unafukuza the next day.
 
Kama Dar ni hatari wanawake wame kua omba omba sana hali ni mbaya ,tena saiv hawaoni ata aibu
Na wanafikiri kuongwa ni haki yao. Ukimnyima hela anakuona kama shetani fulani hivi. Akishavaa kihasara hasara akaingia kiwanja basi anajiona ana haki ya kununuliwa bia, chakula na kugharamiwa usafiri wa kuondoka.
 
🤣🤣🤣
nlikua nachangamsha genge mtaaram.
 
Woote na wewe tunaweka kundi moja tunaliita kausha damu. Kwa nini tunasema ni matapeli, wakati mnataka kuomba hela mnatuita majina mazuri darling, honey nk.
Walimu hukutana sana na haya majina mwishoni mwa mwezi (tarehe za mishahara).

"My sweet, My honey, My lotion, My guitar, My baby".

Baada ya maokoto kukata majina halisi ni haya;

Daudi vipi, niambie Bakari, uko powa we Kiumbe...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mataperi = matapeli. Sasa ukipiga mimba ukaingia mitini si ushenzi huo? Mwanaume aliyekamilika hakimbii mimba. Cha muhimu kama wewe bado ni maskini kaa mbali na wanawake. Maskini inatakiwa tu ajiunge na CHAPUTA au akanunue changu kwa bei elekezi ya Tsh 3000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…