Na kweli atulieTulia babu ushaambiwa huna shughuli [emoji38]
Same as jinsia Ke waliopo kwenye familia yakoWoote na wewe tunaweka kundi moja tunaliita kausha damu. Kwa nini tunasema ni matapeli, wakati mnataka kuomba hela mnatuita majina mazuri darling, honey nk.
Mnawatoaga wapi hao watu. Mbona mimi nilipo hawapo
Hiyo damu unayo sasa mpaka ukaushwe?Wewe ni kausha damu unaetafuta angle ya kujitetea.
Kwani mada ime exclude Ke wa familia yangu? Itakuwa umepigwa kwenye mshonoSame as jinsia Ke waliopo kwenye familia yako
sana shida nini mpka wanaomba sanaKama Dar ni hatari wanawake wame kua omba omba sana hali ni mbaya ,tena saiv hawaoni ata aibu
Wanataka usawa lakini hawataki kubeba wajibu unaotokana na huo usawa ndio hapo wamebaki kudandia dandia yale yanayowanufaisha tu. Kwenye elimu usawa, ajira usawa, uongozi usawa, kurithi mali usawa. Haya sasa mshapewa ajira bebeni jukumu la kujihudumia au kusaidiana sawa sawa kwenye mahusiano hapo ndipo watakwambia wewe marioo, unakwepa majukumu yaani ukigusa yale ambayo yanamkandamiza au kumuweka hatarini mwanaume kama kutumia kipato ku-maintain mahusiano, kwenda vitani n.k uko wanawake usawa hawautaki kabisaWanawake wanataka haki sawa ila majukumu sawa hawayataki.
Nilipe kodi, nimlishe, nimvalishe, nimpe hela ya matibabu, nimtolee mahari, niwahudumie watoto n.k halafu aje na yeye kutoa kibesi ndani ya nyumba tena kwa vitu nilivyotafuta mwenyewe HAPANA.
Heheee kama wewe ulivyopigwa. Mada inahusu wanawake ambao hata kwenye familia yako wapoKwani mada ime exclude Ke wa familia yangu? Itakuwa umepigwa kwenye mshono
Kwa hiyo?Heheee kama wewe ulivyopigwa. Mada inahusu wanawake ambao hata kwenye familia yako wapo
Pigia mstariKwa hiyo?
Kuna kaukweli na ukiwandekeza utakufa masikini.Wanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.
Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.
2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"
Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.
Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Utakuwa wewe ndio mjingaWanaume tumeumbwa mateso bwana mkuu
Dawa yake mpe pesa, akileta za kuleta mpe tena pesa.akitaka kukuacha mpe tena pesa. Dozi ni pesa kutwa mara 3 itatibu magonjwa yote
Unaupiga mwingi sana mzee babaHii misemo ya wanaume tumeumbwa mateso, kitanda hakizai halamu na mingine inayomtengenezea mwanaume fikra ya kukumbatia mateso hata kama ana nafasi ya kujinasua ni ya kipuuzi ndio misemo inayosababisha wanaume wanajibebesha tabu ambazo wangeweza kuziepuka, wanang'ang'ania limwanamke libinafsi, lisilokua na adamu na limalaya lililokubuu. limwanamke limefanya umalaya wake limekuletea mimba isiyokua yako halafu ulee tu eti kitanda hakizai halamu, limwanamke lichoyo, libinafsi, halina shukrani, halilidhiki, haliongezi value yoyote kwenye mahusiano uendelee kulilea tu eti wanaume tumeumbwa mateso.! that is total bullshit. Iyo misemo ni ya kizamani haipaswi kupewa kipaumbele kwenye kizazi hiki cha wanawake wadangaji na kausha damu.
π€£π€£π€£Hello kaisha damu,how'd?π€£π€£π€£π€£
πββοΈπββοΈ
Huyo ambaye akili za kusaka zinakuwa zaidi kwa kuombwa hela huyo ni mvulana mpumbavuDear ATM tulia, ujue akiomba omba unapata na akili za kusaka zaidi ehee? Ila yeye kausha damu akili ya kuzisaka hana ππ
Huyo ambaye akili za kusaka zinakuwa zaidi kwa kuombwa hela huyo ni mvulana mpumbavu asiyejitambuaDear ATM tulia, ujue akiomba omba unapata na akili za kusaka zaidi ehee? Ila yeye kausha damu akili ya kuzisaka hana ππ