2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Wanawake wanataka haki sawa ila majukumu sawa hawayataki.
Nilipe kodi, nimlishe, nimvalishe, nimpe hela ya matibabu, nimtolee mahari, niwahudumie watoto n.k halafu aje na yeye kutoa kibesi ndani ya nyumba tena kwa vitu nilivyotafuta mwenyewe HAPANA.
Wanataka usawa lakini hawataki kubeba wajibu unaotokana na huo usawa ndio hapo wamebaki kudandia dandia yale yanayowanufaisha tu. Kwenye elimu usawa, ajira usawa, uongozi usawa, kurithi mali usawa. Haya sasa mshapewa ajira bebeni jukumu la kujihudumia au kusaidiana sawa sawa kwenye mahusiano hapo ndipo watakwambia wewe marioo, unakwepa majukumu yaani ukigusa yale ambayo yanamkandamiza au kumuweka hatarini mwanaume kama kutumia kipato ku-maintain mahusiano, kwenda vitani n.k uko wanawake usawa hawautaki kabisa
 
Kuna kaukweli na ukiwandekeza utakufa masikini.
 
Unaupiga mwingi sana mzee baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…