2024 utakuwa mwaka wa Mapambano kabambe ya Kisiasa, hatutakuwa na Huruma na Mamluki

2024 utakuwa mwaka wa Mapambano kabambe ya Kisiasa, hatutakuwa na Huruma na Mamluki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Screenshot_2023-09-05-22-31-54-1.png
 
Uongozi wa juu wa CDM ni kitengo kazi maalum, sasa kinyago tuchonge wenyewe halafu kitutishe.

Wakistaafu au wakichoka, wanarudi, kama Mrema, Marando, Lipumba
 
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Mapambano yalizikwa Mbowe alipokwenda ikulu!
 
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Umeona mwenyekiti wako huko hai katangaza kupokea mil 150 kutoka kwa Mama Samia ya ujenzi wa Kanisa. Mwenyekiti mpaka udende unatoka 😁😁 anatamani ziwe za join za cheni😁😁
 
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Cc. Lucas mwashambwa
 
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Ninyi ndiyo mmekawiza mageuzi ya nchi hii. CCM inheshakaa vizuri kama si ninyi, inaendelea kuwavumilia hao wahalifu waliomo ndani kwasababu inaogopa itakapo deal nao huko kwenu ndiyo maficho na pango la wanyang'anyi hukimbia na kurudi ndani
 
Umeona mwenyekiti wako huko hai katangaza kupokea mil 150 kutoka kwa Mama Samia ya ujenzi wa Kanisa. Mwenyekiti mpaka udende unatoka 😁😁 anatamani ziwe za join za cheni😁😁
Mambo ya dini tusichanganye na mambo ya 2024
 
Kwanza kabisa niwapongeze wote waliopambana humu JF na kwingineko kwa ajili ya kupigania haki kwenye Nchi yetu, Nchi ambayo ndimo tulimozaliwa na ndio Nchi ambayo wamo ndugu zetu na huenda tukazikwa humu humu siku zetu zitakapofika mwisho.

Si kazi rahisi kupiganiia haki kwenye nchi kama Tanzania, Nchi ambayo viongozi wake ni kama Wafalme, ambao huwarithisisha vyeo vya Juu watoto wao na ndugu zao, Wameifanya Nchi kama Shamba la bibi yao.

Hata hivyo 2024 na tena bila kujali chochote tutazidisha mno mapambano ya kudai haki kwa njia zote zitakazojitokeza, tutajitahidi Kuelimisha, kushawishi na kuelekeza, na wakati mwingine tutatumia njia zisizofahamika.

Sasa kama ulidhani harakati za kupigania haki zimekwisha basi jipange upya, hujawahi kuziona harakati kama tutakazozifanya kuanzia 2024.

Akina Halima msiwarudishe tena
 
Kwamba mtamchomoa mamluki namba moja a.k.a mwenyekiti wa kudumu, Ayatollah Mbowe?
 
Back
Top Bottom