2024 Watanzania tutaandamana kulazimisha Dkt. Magufuli aongezewe muda zaidi. Umeme wa Stieglers utakapowaka, hospitali, SGR zitaleta shangwe sana

2024 Watanzania tutaandamana kulazimisha Dkt. Magufuli aongezewe muda zaidi. Umeme wa Stieglers utakapowaka, hospitali, SGR zitaleta shangwe sana

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha Magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
 
So kumbe unawaza tuu. Endelea kuwaza.
Anyway leo niko seat ya mbele
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
Hujaota Corona bwashee?!!
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
Si kwamba umeota, unawaza tumbo lako shemeji aendelee kuneemeka nawe upate pa kuegemea!
Jitegemee acha akili za kushinda sebleni kwa shemeji yako!
 
Labda auandamane aje akusaidie kumzalisha mkeo, taka kweli wewe [emoji57][emoji57][emoji57], yani wapuuzi wachache ka nyie ndio mnafanya waafrika tudharaulike, mtu akimaliza muda wake akae pembeni, wanaong'ang'ania madaraka unakuta walikiuka haki za binadamu hivyo wanaogopa kuondolewa kinga waking'oka, narudia tena takataka ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwazako kwa miziki anayochezeshwa na chadema anatamani muda ufike astafu arudi zake chato akapige jembe kama mzee wa msoga hoya usiombe kutawala hasa afrika kazi ukiwa nje ya unaona pouwa tu lakini ingia uwone mchezo kiongozi wa afrika hasa tanzania ana changamoto tatu vita na mabeberu yanataka yaibe maliasili bila kodi marafiki zako uliyosoma nayo yanataka yaibe pesa yanakuwa mafisadi wapinzani wako ata ufanye jema lipi kwao hata kwa taifa kwao wanakuona mshamba muuwaji fisadi tu wao mawazo yao wanataka icho cheo chako
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
Ungemuota na atakayeitisha hayo maandamano kabla haujaamka,,Mana mnaweza mkajikuta mpo walewale wa ndoto za chama tawala
 
Najitolea kukuroga mapema kabisa kabla haujaanza kuandamana..Tafadhali sana wana JF naombeni huyu mniachie mimi peke yangu nimgeuze tambala la deki, akanyagwe mpaka na mende
 
Back
Top Bottom