Pre GE2025 2025 Mshindi wa Urais, Ubunge na Udiwani anajulikana. Sitajiandikisha wala kupiga kura

Pre GE2025 2025 Mshindi wa Urais, Ubunge na Udiwani anajulikana. Sitajiandikisha wala kupiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari Mshindi wa Urais, Washindi wa Ubunge na Madiwani wameshaandaliwa na wanawajua, sina haja kwenda kujianika peupe ili nianze kufuatiliwa niuawe.

Niabaki nyumbani, kwa usalama wangu na ndugu zangu sitajiweka peupe kujidanganya mwenyewe eti nimetoka kupiga kura Kumchagua fulani wakati siyo kweli. Endeleeni ninyi wenyewe pangeni foleni kwaajili ya kuhalalisha ubatili wenu.

Sitaki nasema sitaki kujiweka mhuri wa kuuawa. Ila kuna siku mtachoka kusimama foleni ya kujitekenya na kucheka wenyewe. Ipo siku mtachoka. Jamii ya kimataifa itawashangaa kwa kumpata mshindi wa magumashi. Mtachoka.

Nafafanua maana ya ujumbe wangu:
CCM Imekuwa na kawaida sana kutumia mabavu kuhakikisha wanamuweka kiongozi wao wanaye mtaka. Kwao ni IWE ISIWE watamuweka wamtakaye. Huu utekaji ni kwasababu ya kuwakatisha tamaa upinzani. Ni mapema sana kwangu kufa kwa ajili ya siasa.
 
Unahaki ya kufikiri hivyo, inamaana gani kama raia wanataka kiongozi X awaongoze alafu chama kina wapelekea kionzi Y. Ni upuuzi tu
 
Kususia uchaguzi ni furaha kwa ccm. Hauwakomoi ccm, bali unajikomoa wewe na kizazi chako. Watoto zako wataishia kuwa bodaboda na machangudoa.

Sisemi ukapige kura, bali tafuta mbinu ya kupambana na huu uporaji wa haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Tengeneza hata bomu la petroli, tafuta hata sumu ya mamba au panya, mwaga kwenye visina vya wapora haki. Noa panga, Kisha upambane na wezi wa kura.
 
 
Mimi nitajiandikisha na nitapiga kura ili kutimiza haki na wajibu wangu wa kikatiba.

Ila kwenye sanduku la kura nitawakataa Ccm wote nitachagua upinzani.
Hupigi kura afu unapata mandate ipi kumsema kiongozi??
 
Kilichofanyika serikali za mitaa ndio mfano wa October 2025 Kuna mgombea atakuwa na kura zaidi ya 90%. Bunge litakuwa la chama kimoja wataachia viti vichache ili kupunguza aibu. Hawahitaji kura zetu kutangaza mshindi maana tayari "wameshaseti mitambo".
 
Ndugu zangu kupiga kula si jambo la maana sana maana hata akipitishwa nani hakuna atakaye kuletea chakula nyumban hata kiwe chama gan chamsingi angalia ulipotoka,ulipo na unapokwenda siasa si jambo la msingi saana kny maisha kuna vi2 vingin vya kufanya tofaut na siasa asanten
 
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari Mshindi wa Urais, Washindi wa Ubunge na Madiwani wameshaandaliwa na wanawajua, sina haja kwenda kujianika peupe ili nianze kufuatiliwa niuawe.

Niabaki nyumbani, kwa usalama wangu na ndugu zangu sitajiweka peupe kujidanganya mwenyewe eti nimetoka kupiga kura Kumchagua fulani wakati siyo kweli. Endeleeni ninyi wenyewe pangeni foleni kwaajili ya kuhalalisha ubatili wenu.
Do! Hapa ndio unawafurahisha kweli kweli Yani. Madaraka matamu asikuambie Mtu.

Unasusia shamba ngedere ukifikiri watajiona vibaya?
 
Inchi hii Kuna watu Bado wanapiga kura?iv Wanafanya ivyo kwa malengo yepi? Kweli hi nchi watu wake Bado hawapo serious aisee
 
Na kuhakikishia hata huu uchaguzi wa juzi wa serikali za mitaa watu wengi waliususia baada ya chaguzi za nyuma kuona watu wanachagua viongozi wao alafu wanaoshinda ni wengine wananchi wanaona is just wasting of their time ,kingine ,Simba na Yanga na goli la mama nalo limezorotesha kushiriki uchaguzi kwa vijana wengi kingine wanaendesha boda boda na bajaji miaka hii ni wengi tofauti na miaka ya nyuma watu wanauhakika wa kupata elfu tano kwa siku tofauti na miaka ya nyuma , betting spots na mengine mengi yamechangia kuondoa hamasa ya uchaguzi kwa vijana.
 
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari Mshindi wa Urais, Washindi wa Ubunge na Madiwani wameshaandaliwa na wanawajua, sina haja kwenda kujianika peupe ili nianze kufuatiliwa niuawe.

Niabaki nyumbani, kwa usalama wangu na ndugu zangu sitajiweka peupe kujidanganya mwenyewe eti nimetoka kupiga kura Kumchagua fulani wakati siyo kweli. Endeleeni ninyi wenyewe pangeni foleni kwaajili ya kuhalalisha ubatili wenu.

Sitaki nasema sitaki kujiweka mhuri wa kuuawa. Ila kuna siku mtachoka kusimama foleni ya kujitekenya na kucheka wenyewe. Ipo siku mtachoka. Jamii ya kimataifa itawashangaa kwa kumpata mshindi wa magumashi. Mtachoka.
CCM wanatengeneza mazingira hatarishi kwa watu ili waogope, wasiende kupiga kura. Wakishaogopa, wakasusa, ndiyo furaha yao, wanamtangaza mtu wao bila hofu wala woga.
 
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari Mshindi wa Urais, Washindi wa Ubunge na Madiwani wameshaandaliwa na wanawajua, sina haja kwenda kujianika peupe ili nianze kufuatiliwa niuawe.

Niabaki nyumbani, kwa usalama wangu na ndugu zangu sitajiweka peupe kujidanganya mwenyewe eti nimetoka kupiga kura Kumchagua fulani wakati siyo kweli. Endeleeni ninyi wenyewe pangeni foleni kwaajili ya kuhalalisha ubatili wenu.

Sitaki nasema sitaki kujiweka mhuri wa kuuawa. Ila kuna siku mtachoka kusimama foleni ya kujitekenya na kucheka wenyewe. Ipo siku mtachoka. Jamii ya kimataifa itawashangaa kwa kumpata mshindi wa magumashi. Mtachoka.
Endelea kufatilia mpira watching Abduli na Wanu wakutawale. Uzuri waswahili wanasema ukisusa wenzio twala.
 
Mimi nitajiandikisha na nitapiga kura ili kutimiza haki na wajibu wangu wa kikatiba.

Ila kwenye sanduku la kura nitawakataa Ccm wote nitachagua upinzani.
Hupigi kura afu unapata mandate ipi kumsema kiongozi??
Kwao umchagu usimchague kura zao ziko mifukoni tokea nyumbani kwao. Box utakalo tumbukiza kura yako mwisho wa siku linawekwa pembeni na kuweka box lao walilotumbukiza kura zao fake. Pole sana kwa kutojua.
 
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwa

Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari Mshindi wa Urais, Washindi wa Ubunge na Madiwani wameshaandaliwa na wanawajua, sina haja kwenda kujianika peupe ili nianze kufuatiliwa niuawe.

Niabaki nyumbani, kwa usalama wangu na ndugu zangu sitajiweka peupe kujidanganya mwenyewe eti nimetoka kupiga kura Kumchagua fulani wakati siyo kweli. Endeleeni ninyi wenyewe pangeni foleni kwaajili ya kuhalalisha ubatili wenu.

Sitaki nasema sitaki kujiweka mhuri wa kuuawa. Ila kuna siku mtachoka kusimama foleni ya kujitekenya na kucheka wenyewe. Ipo siku mtachoka. Jamii ya kimataifa itawashangaa kwa kumpata mshindi wa magumashi. Mtachoka.

Nafafanua maana ya ujumbe wangu:
CCM Imekuwa na kawaida sana kutumia mabavu kuhakikisha wanamuweka kiongozi wao wanaye mtaka. Kwao ni IWE ISIWE watamuweka wamtakaye. Huu utekaji ni kwasababu ya kuwakatisha tamaa upinzani. Ni mapema sana kwangu kufa kwa ajili ya siasa.
Nasikitika kuona nchi yangu ikirudi nyuma kuliko enzi za kutawaliwa na Wazungu!
 
Kususia uchaguzi ni furaha kwa ccm. Hauwakomoi ccm, bali unajikomoa wewe na kizazi chako. Watoto zako wataishia kuwa bodaboda na machangudoa.

Sisemi ukapige kura, bali tafuta mbinu ya kupambana na huu uporaji wa haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Tengeneza hata bomu la petroli, tafuta hata sumu ya mamba au panya, mwaga kwenye visina vya wapora haki. Noa panga, Kisha upambane na wezi wa kura.
Sasa hata usiposusia ukishiriki matokeo si yale yale. Sasa si aheri kupumzika tu
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Generation ya early 50s na late 40s ndo ambayo imeshikilia sehemu kubwa ya maamuzi .

Hivyo wao hawatokubali kuona inapatikana katiba mpya ambayo itawezesha uwepo wa uchaguzi huru.

Ni vizuri watu wakaendelea na utaratibu wa kupiga kura na kujiandikisha kuliko kususa kabisa.

Mfano kupitia uchaguzi huu mdogo japokuwa Ccm imeshinda Ila bado wameona kuwa hali ya wao kukubalika imepungua sana.

Kususa sio njia nzuri Ila njia nzuri ni viongozi wa upinzani kuangalia namna gani wanaweza kupata ushindi Kwa Amani kupitia sanduku la kura.

Binafsi huwa siamini Kama watu wachache wanaweza kuifanya ccm kutawala milele.

Kilichopo ni ukosefu wa ile Elimu ya uraia na watu kuwa na ufahamu kuwa Endapo tukiitoa Ccm je Vyama vya upinzani vitaweza kuongoza vizuri.

Kama nilivyo-nightlight hapo juu vyama vya Upinzani wajikite zaidi Ku sambaza elimu ya uraia Kwa wananchi.

Maana asilimia kubwa ya Vijana wanasema siasa haiwahusu moja Kwa moja na kusahau 90% ya maisha yame-link na siasa

Afya bora
Elimu bora
Miundombinu
Usalama wa raia
Kodi

Mambo yote haya ni siasa.
 
viongozi wa upinzani kuangalia namna gani wanaweza kupata ushindi Kwa Amani kupitia sanduku la kura.
CCM ndiyo hawataki amani, wanauwa, wanateka na kupiga watu wakati wa uchaguzi.

Dawa kupigwa, kutekwa na kuuawa ni kufanya hayo hayo, maana wahenga walisema dawa ya moto ni moto.
 
Back
Top Bottom