Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga ngumi ukuta halafu ukalale!Waende kupiga kura za nini ?
Nikiwa kama mkuu wa kaya hakuna mtu wa kwenda kupiga kura, FULLSTOP!!
Sasa wajinga wa Chadema ndio wanaweza kuwa chama mbadala wa CCM? Waganga njaa hao?Nani aliyekukaririsha maujinga kama hayo?
Una mihemko kama binti wa uswahilini aliyeachika kwa hawara yake.Lazima uitaje CHADEMA ili ueleweke?Nchi yoootee hakuna wenye akili mpaka uwaone wawe CCM?Sasa wajinga wa Chadema ndio wanaweza kuwa chama mbadala wa CCM? Waganga njaa hao?