samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 750
- 1,086
Huku ni kudhalilisha viongozi, hebu ona yule mpenzi wa simba aliyetandikwa bao 5-1 pamoja na kwamba amebebelea bonge la picha ya Samia!! π€£Hata mimi binafsi nashangazwa na tabia hii ya kuingia na mabango ya kusifia viongozi wa kisiasa ambayo imeota mizizi hasa kwenye timu niipendayo ya yanga.Kukiwa na mechi mara asante mh Rais kwa kufanya hiki au kile !Kuna vitu vizuri vingi amefanya Rais na serikali yake na watu wameviona au wanaviona kuna sababu gani ya msingi watu mnaanza kuingia na mabango uwanjani ambako kila mtu huko ana itikadi yake.Je akina Rungwe mzee wa ubwabwa wafuasi wao wakianza kuingia na mabango ya kuhusu ubwabwa Wallace Karia na wenzio mtavumilia?
Leo hao watani wamelala na viatu na usiku ulikuwa mrefu balaa.Naipenda yanga ila iache kujihusisha na siasa itawagawa mashabiki wakeHuku ni kudhalilisha viongozi, hebu ona yule mpenzi wa simba aliyetandikwa bao 5-1 pamoja na kwamba amebebelea bonge la picha ya Samia!! [emoji1787]
Rage,Kapuya,Tulia,Lusinde nk ni SimbaYanga ataibuka mshindi[emoji23]
CCM wote Yanga
Mbowe, Tundu Lisu, Halima Mdee Yanga
Abdul Nondo Yanga
Mdude Yanga[emoji3]
Wastaafu Mwinyi na JK Yanga [emoji3]
Mo Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji209]
Zito KabweYanga ataibuka mshindi[emoji23]
CCM wote Yanga
Mbowe, Tundu Lisu, Halima Mdee Yanga
Abdul Nondo Yanga
Mdude Yanga[emoji3]
Wastaafu Mwinyi na JK Yanga [emoji3]
Mo Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji209]
Hilo halitaondoa Mashabiki kufurahia na kuondoa umoja wao. Kumbuka kila shabiki wa YANGA/SIMBA ana chama anachokikubali. Hao wajinga wanalijui hilo, ndio maana wanaleta maswala ya uvyama wakiamini wanaweza kuawavuruga kwa hilo.Salaam, Shalom!!
CDM na CCM hoyee!!!!!!!!
Twende haraka kwenye mada.
HOJA ya swali hapo juu ni kutaka kujadili madhara na faida za kuingiza siasa michezoni,
Tumeona hivi sasa imeibuka TABIA ngeni ambayo tangu uhuru hatujawahi kuiona ikiendelea kuzoeleka.
Michezo tangu uhuru imekuwa ni chanzo Cha UMOJA na kuunganishwa makundi yote na KUIMARISHA UMOJA na mshikamano wetu kitaifa.
Tumekuwa tukiona viongozi wa Upinzani wakiweka mbali mavazi Yao ya kisiasa na kuvaa jerzey na kufurahia burudani ya mpira bila kujali itikadi zao za kisiasa.
Ilikuwa ni kawaida kumkuta Mbowe akiwa amekaa pamoja na Rizwani KIKWETE wakishangilia timu Yao ya Yanga bila kuvaa sare zao za vyama.
Huu Utaratibu mgeni wa kuingia na mabango na picha za viongozi wa chama viwanja vya michezo unalenga nini?
Yaani mechi ya simba na yanga, unakutana na watu wamevaa sare za chama na PICHA kubwa na MABANGO ya kiongozi wa chama zenye jumbe zisohusiana na michezo, jumbe ni za kisiasa na hawakemewi wanapoingia.
Lengo la kuingiza siasa michezoni Lina faida na HASARA zipi?
Ikiwa Mdude ,Dr Slaa na Mwabukusi nao wakianza kuingia viwanja vya michezo na mabango ya kisiasa Viwanjani wataruhusiwa?
Na Hali hii ikizoekeka, katika chaguzi zijazo tukapiga kura Kwa kufuata timu zetu za Simba na Yanga, nani ataibuka mshindi?
Na Hali ikiwa hivyo, UMOJA wetu wa kitaifa utaendelea kuwa kama ulivyo?
Nani aje atukemee, Ili tujirekebishe?
Karibuni π
Zamani haikuwa hivyo, Awamu hii ya mpito ndo Ina mambo hayo!!Hivyo vitu havitokei kwa bahati mbaya, hao watu wanaandaliwa na kupewa mabango.
Kwa kifupi hivyo vilabu vyote vya kariakoo vina nasaba na chama tawala.
πππππ - πΌWe popoma hujui maana ya utani wa jadi nahapo bado hujasema kawapiga kwenye mshono
#YangaYaSamia
Mmeendelea na Taifa stars tena,Salaam, Shalom!
CDM na CCM hoyee!
Twende haraka kwenye mada.
HOJA ya swali hapo juu ni kutaka kujadili madhara na faida za kuingiza siasa michezoni.
Tumeona hivi sasa imeibuka TABIA ngeni ambayo tangu uhuru hatujawahi kuiona ikiendelea kuzoeleka.
Michezo tangu uhuru imekuwa ni chanzo Cha UMOJA na kuunganishwa makundi yote na KUIMARISHA UMOJA na mshikamano wetu kitaifa.
Tumekuwa tukiona viongozi wa Upinzani wakiweka mbali mavazi Yao ya kisiasa na kuvaa jerzey na kufurahia burudani ya mpira bila kujali itikadi zao za kisiasa.
Ilikuwa ni kawaida kumkuta Mbowe akiwa amekaa pamoja na Rizwani KIKWETE wakishangilia timu Yao ya Yanga bila kuvaa sare zao za vyama.
Huu Utaratibu mgeni wa kuingia na mabango na picha za viongozi wa chama viwanja vya michezo unalenga nini?
Yaani mechi ya simba na yanga, unakutana na watu wamevaa sare za chama na PICHA kubwa na MABANGO ya kiongozi wa chama zenye jumbe zisohusiana na michezo, jumbe ni za kisiasa na hawakemewi wanapoingia.
Lengo la kuingiza siasa michezoni Lina faida na HASARA zipi?
Ikiwa Mdude, Dr. Slaa na Mwabukusi nao wakianza kuingia viwanja vya michezo na mabango ya kisiasa Viwanjani wataruhusiwa?
Na Hali hii ikizoekeka, katika chaguzi zijazo tukapiga kura Kwa kufuata timu zetu za Simba na Yanga, nani ataibuka mshindi?
Na Hali ikiwa hivyo, UMOJA wetu wa kitaifa utaendelea kuwa kama ulivyo?
Nani aje atukemee, Ili tujirekebishe?
Karibuni π
Freemasons watakuwa wamefeli wakirihusu hili kutokea.Salaam, Shalom!
CDM na CCM hoyee!
Twende haraka kwenye mada.
HOJA ya swali hapo juu ni kutaka kujadili madhara na faida za kuingiza siasa michezoni.
Tumeona hivi sasa imeibuka TABIA ngeni ambayo tangu uhuru hatujawahi kuiona ikiendelea kuzoeleka.
Michezo tangu uhuru imekuwa ni chanzo Cha UMOJA na kuunganishwa makundi yote na KUIMARISHA UMOJA na mshikamano wetu kitaifa.
Tumekuwa tukiona viongozi wa Upinzani wakiweka mbali mavazi Yao ya kisiasa na kuvaa jerzey na kufurahia burudani ya mpira bila kujali itikadi zao za kisiasa.
Ilikuwa ni kawaida kumkuta Mbowe akiwa amekaa pamoja na Rizwani KIKWETE wakishangilia timu Yao ya Yanga bila kuvaa sare zao za vyama.
Huu Utaratibu mgeni wa kuingia na mabango na picha za viongozi wa chama viwanja vya michezo unalenga nini?
Yaani mechi ya simba na yanga, unakutana na watu wamevaa sare za chama na PICHA kubwa na MABANGO ya kiongozi wa chama zenye jumbe zisohusiana na michezo, jumbe ni za kisiasa na hawakemewi wanapoingia.
Lengo la kuingiza siasa michezoni Lina faida na HASARA zipi?
Ikiwa Mdude, Dr. Slaa na Mwabukusi nao wakianza kuingia viwanja vya michezo na mabango ya kisiasa Viwanjani wataruhusiwa?
Na Hali hii ikizoekeka, katika chaguzi zijazo tukapiga kura Kwa kufuata timu zetu za Simba na Yanga, nani ataibuka mshindi?
Na Hali ikiwa hivyo, UMOJA wetu wa kitaifa utaendelea kuwa kama ulivyo?
Nani aje atukemee, Ili tujirekebishe?
Karibuni [emoji120]
Wanapikiwa Supu wanasafiri kilomita 30 kuja kunywa supu nauli ya kuja na kurudi Tsh.20000/= Je hiyo Tsh 20000/= angekunywa supu ngapi huko kwako?Mpira ni Burudani lakini kwenye Nchi hii unatumika pia KUPUMBAZA Masikini.
Kama leo Wanayanga wengi wamelala na NJAA lakini WAMEFURAHI.
Wajinga mpo wengi sanaYanga ataibuka mshindi[emoji23]
CCM wote Yanga
Mbowe, Tundu Lisu, Halima Mdee Yanga
Abdul Nondo Yanga
Mdude Yanga[emoji3]
Wastaafu Mwinyi na JK Yanga [emoji3]
Mo Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji209]
Hujaelewa dhima ya threadWapenzi wa Yanga nchi nzima ni asilimia 54 na Simba 46. Tafuta jibu sasa.