Inawezekana mkuu, kusikia kitu gani anaenda kufanya Ili muda mwingine uende kiongozi mwenye maono na uthubutu wa kuongoza nchi,sema ndo hivyo tunaishi kwenye nchi ya kusadikika kila kitu tunaona hakiwezekani, lakini kwa Dunia ya sasa midahalo inatakiwa iwepo Ili tupime na uwezo wa wagombeaHivi Unadhani Inawezekana! Kwanini Samia akajikaange mwenyewe.
Hujanielewa! Unaweza kumweka Samia na mtu hata Magoti DC wa Kisarawe katika mdahalo? Au hata kijana wa darasa la saba Samia akatoboa?Inawezekana mkuu, kusikia kitu gani anaenda kufanya Ili muda mwingine uende kiongozi mwenye maono na uthubutu wa kuongoza nchi,sema ndo hivyo tunaishi kwenye nchi ya kusadikika kila kitu tunaona hakiwezekani, lakini kwa Dunia ya sasa midahalo inatakiwa iwepo Ili tupime na uwezo wa wagombea
The problem of Africans is that, those with ideas have no power, and those with power have no ideas.Inawezekana mkuu, kusikia kitu gani anaenda kufanya Ili muda mwingine uende kiongozi mwenye maono na uthubutu wa kuongoza nchi,sema ndo hivyo tunaishi kwenye nchi ya kusadikika kila kitu tunaona hakiwezekani, lakini kwa Dunia ya sasa midahalo inatakiwa iwepo Ili tupime na uwezo wa wagombea
Nimekuelewa mkuu,ndo maana nikasema tunahitaji hii midahalo Ili tupime uwezo wa mgonbea kama anafaa au hatufaii,Hujanielewa! Unaweza kumweka Samia na mtu hata Magoti DC wa Kisarawe katika mdahalo? Au hata kijana wa darasa la saba Samia akatoboa?
Sure, but what should be done in to move from that scenario?The problem of Africans is that, those with ideas have no power, and those with power have no ideas.
Tunapima tusilolijua, huwezi pima unalolijuaNimekuelewa mkuu,ndo maana nikasema tunahitaji hii midahalo Ili tupime uwezo wa mgonbea kama anafaa au hatufaii,
Samia aingie kwenye mdahalo na Lissu? Si ataanguuka kwa kiwewe! Halafu tukitaka kutendenda haki tuseme kuwa na midahalo miwili. Wa kwanza kuhusu mambo ya taifa letu, uongozi na sera za nchi, ufanyike kwa kiswahili. Wa pili uwe wa uchumi na mambo ya kimataifa, ufanyike kwa kiingereza. Maushungi atazimia.Wakuu,
Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.
Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.
Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.
Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Una hamu nenda kale 🥬 lakini ukifuatilia vya watu utaishia kutekwa,mnauliza mdahalo,mmesahau bajeti inasomwa mwezi mzima watu wanahoagwa pesa kibao kumbe bajeti hewa.Yaani wanaita Hadi kamati kumbe pesa yenyewe washalipa madeni yote Wana robo tuu na nyingine wanakopa,ndo maana wanasema sitatoa siri za balaza la mawaziri.Wakuu,
Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.
Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.
Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.
Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Mtu atazaa kitoto cha uzeeni bila uchungu,Lumumba ni tatizo kubwa.Samia aingie kwenye mdahalo na Lissu? Si ataanguuka kwa kiwewe! Halafu tukitaka kutendenda haki tuseme kuwa na midahalo miwili. Wa kwanza kuhusu mambo ya taifa letu, uongozi na sera za nchi, ufanyike kwa kiswahili. Wa pili uwe wa uchumi na mambo ya kimataifa, ufanyike kwa kiingereza. Maushungi atazimia.
Mgombea wa CCM akikubali nakata kadi 2 za CCM Kwa mpigo kama inaruhusiwa. Mwaka ule wa mchakato majimboni wagombea Ubunge wa CCM walikimbia. Mtangazaji Shabani atakubaliana na mimi. Mhando alipata shida Kwa kukubali hili lifanyike kwenye MEDIA yake. Uwezo mdogo wengi mbelekoWakuu,
Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.
Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.
Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.
Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Lisu Midahalo hawezi huo Ndio Ukweli' anachoweza ni kufokafoka tu 😂Wenyewe watakuambia hatuna utamaduni huo
Tatizo siyo utamaduni wao, bali tatizo ni kwamba Wana akili fupi na iliyo kiduchu au akili-mbilikimo (short-sighted mind), hivyo wamekosa upeo mkubwa wa kuchakata data.Wenyewe watakuambia hatuna utamaduni huo
Mdahalo ni Kwa mujibu wa sheria au Kwa mujibu wa hisia zenu binafsi? Sio Kila kitu ni Cha kuiga Kwa WazunguPamoja na ChoiceVariable FaizaFoxy
Siyo vibaya kuiga kutoka kwa Wazungu yale mambo yaliyo mema na mazuri. Midahalo ni miongoni mwa mambo mema ambayo tunapaswa kuiga kutoka kwao.Mdahalo ni Kwa mujibu wa sheria au Kwa mujibu wa hisia zenu binafsi? Sio Kila kitu ni Cha kuiga Kwa Wazungu
Hapana waandishi wawili wa Tanzania naona wanaweza Kuna Salimu Kikeke na Odemba Tuwape sifa zao tu wanaendesha Mijadala fikirishi na yenye Tija sana..ndugu zetu wa Kenya wana uzoefu wa kuendesha midahalo ya wagombea Uraisi.
..Nashauri Tanzania tuazime watangazaji toka Kenya waje watufanyie mdahalo wa wagombea Uraisi.
..waandishi na watangazaji wa Tanzania hawana uzoefu, ni waoga, na ni machawa.