East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 993
Habari za asbh
Kutokana na umahiri wa Kabudi katika wizara ya Sheria napenda kuamini ya kuwa huenda akaja kuwa kiongozi wa nchi hii.
Binafsi nampenda anavyotoa maelekezo na majibu bila Shaka anaweza kumrithi mheshimiwa Dr Magufuli 2025.
Nimefurahi pia alivyohamishiwa wizara nyeti zaidi ya Mambo ya nje kimataifa kwani anaenda kupata exposure ya juu zaidi duniani.
Ni mawazo na matamanio yangu.
Tofa
acha kuota wewe 2025 kabudi atakuwa na miaka mingapi?Habari za asbh
Kutokana na umahiri wa Kabudi katika wizara ya Sheria napenda kuamini ya kuwa huenda akaja kuwa kiongozi wa nchi hii.
Binafsi nampenda anavyotoa maelekezo na majibu bila Shaka anaweza kumrithi mheshimiwa Dr Magufuli 2025.
Nimefurahi pia alivyohamishiwa wizara nyeti zaidi ya Mambo ya nje kimataifa kwani anaenda kupata exposure ya juu zaidi duniani.
Ni mawazo na matamanio yangu.
Tofa
Kwani TZ kuna ukomo wa umri wa kugombea URAIS?acha kuota wewe 2025 kabudi atakuwa na miaka mingapi?
Anapobanwa anatoa mimachoKitu gani umekipenda anapotoa maelekezo na majibu?
Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Ndio maana anajengewa uzoefu katika siasa.Huyo Kabudi hajawahi kushinda ata umonita
Hayo ni mawazo mfu. Anawezo mzuri sema unamuangalia kichama zaidiIt would be very sad kuweka mtu kama huyo kigeugeu kama slowslow! Katiba iko wapi?
Magufuli anaumbua watu?hahahaa we kiazi kwelNdio maana anajengewa uzoefu katika siasa.
Hata Magufuli mlisema hivyo hivyo kuwa Hana uzoefu leo hii anawaumbua.
Tofa
Muda utaongea.
Yaani unashindwa kuona uharibifu alioleta Jiwe kwa taifa hili mpaka sasa? Ama kweli TZ kuna watu ni mizigo haina uwezo wa kutambua jambo kwani wamechotwa na propaganda na uwongo wanao pewa kila kukicha.Ndio maana anajengewa uzoefu katika siasa.
Hata Magufuli mlisema hivyo hivyo kuwa Hana uzoefu leo hii anawaumbua.
Tofa
Kuliko kuwaweka hao wote bora tuendelee na magu tuMara mia awekwe January Makamba na sio huyu Prof. Hovyo kabisa.
Kwani kwa sasa ana miaka mingapi?acha kuota wewe 2025 kabudi atakuwa na miaka mingapi?
january makamba aliyepata division zero form 6 au january yupi?Mara mia awekwe January Makamba na sio huyu Prof. Hovyo kabisa.