Bwana Bongo
Senior Member
- Dec 12, 2021
- 146
- 212
Au tutazaliwa tena sehemu nyingineMimi yapo mengi Sana ya kukumbukwa nayo Ila siwezi kuyataja yote nikamaliza.
Bt swali ambalo tunatakiwa tujiulize Sana Ni je tukishakufa tutaenda mbinguni paradiso kwa Mungu ama tutaenda jehanamu kwa shetwani?
Nina muda hata wa kujua hayo kwani,yaan mi natenda wema nasepa,natenda ovu nasepa....ivo watajua wao wenyewe wakizika
Sijaelewa ShemKumbe shemeji yangu pesa sio shida zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa, si kaz ya marehemu hiyoKwangu mimi siwezi jisemea labda jinyi ndio mseme kuwa mtanikumbuka kwa kitu gani?
Nitendayo ni mengi hila sina uwakika kama mtanikumbuka kwa hayo
Sijaelewa Shem
Mbona sina chochote mkuu,kuna nnUna mapesa mengi na husem
Mbona sina chochote mkuu,kuna nn
😳makubwaNataka nikupige mzinga [emoji23] shem kaka anielew
Kukumbukwa itakusaidia nini sasa marehemu
[emoji15]makubwa
Binadamu wa sasa hv wanawaza sana mambo mengine yako nje ya uwezo 😁 tuishiUko kaburini inaelekea utakuwa unacheka mtu akikumbuka [emoji23][emoji23]