🤔

🤔

Mimi yapo mengi Sana ya kukumbukwa nayo Ila siwezi kuyataja yote nikamaliza.

Bt swali ambalo tunatakiwa tujiulize Sana Ni je tukishakufa tutaenda mbinguni paradiso kwa Mungu ama tutaenda jehanamu kwa shetwani?
 
Mimi yapo mengi Sana ya kukumbukwa nayo Ila siwezi kuyataja yote nikamaliza.

Bt swali ambalo tunatakiwa tujiulize Sana Ni je tukishakufa tutaenda mbinguni paradiso kwa Mungu ama tutaenda jehanamu kwa shetwani?
Au tutazaliwa tena sehemu nyingine
 
Kwangu mimi siwezi jisemea labda jinyi ndio mseme kuwa mtanikumbuka kwa kitu gani?

Nitendayo ni mengi hila sina uwakika kama mtanikumbuka kwa hayo
 
Nawaachia watakao nizika. Maana wapo watakaosema mazuri wapo watakaonong'ona mabaya.
 
Back
Top Bottom