KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Pole sana Brigedia.. Naamini hadi msimu huu uishe utakua umebakia na kiwiliwili tu.
Hata hicho kiwili wili hatakua nacho....maana kwa speed hii ni mpaka klabu bingwa afrika.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Brigedia.. Naamini hadi msimu huu uishe utakua umebakia na kiwiliwili tu.
Hahah sawa....Huo mwisho utaungoja milele......sasa hivi wanaYanga wanalazimika kununua mechi mbili mbili.....mechi ya Simba na mechi yake....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu ni mda sana umetutenga sana humu jukwaani.. Unafanya tunasherekea haya maushindi wenyewe tu.. Si vizuri bhana.. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu Sembo kama nilivyotabiri leo lazima tushinde tena kwa goli nyingi ndivyo ilivyotokea.Pongezi zikufikie kwa kuendeleza pass nyingi kabisa hapa jukwaani.Leo furaha imerudi hasa baada ya hujuma ya jana.Mungu ibariki Simba TAIFA KUBWA.
Mkuu umekwishaukata?Mkuu Simba leo ikishinda nakata mkono wangu wa kushoto
Du! Leo sijaendaDk 85: Simba S.C 3-0 Totooo
Porojo tuMkuu umekwishaukata?
Nadhani Mkuu.. Furaha ilikamilika.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] RAHA SAAAANA
BARCELONA KASHINDA 3
MNYAMA KASHINDA 3
ATLETICO MADRID KAPIGWA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MAN FONGO KALA FOUR[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
BADO R.MADRID FURAHA IKAMILIKE[emoji13] [emoji13]
hapana mkuu japo si mbayaNadhani Mkuu.. Furaha ilikamilika.
Jamani hiyo app inayotoa matokeo na hata msimamo wa ligi inaitwaje?Leo nyasi za uwanja wa Uhuru zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.
Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.
Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?
1. Toto Africa.
Kacheza: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]
2. Simba S.C
Kacheza: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]
.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]
View attachment 422804
Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika uwanja wa Uhuru
UPDATES;
Dk 90+ 4: Refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira.
Matokeo ni kua.. Simba S.C imeendelea kutakata baada ya kuwadunga 3-0 Toto African.
Wafungaji; Muzamiru Yassin [Goli 2] na Mavugoaaal