23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

sembooi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tumewakalisha!!
Mkuu ni mda sana umetutenga sana humu jukwaani.. Unafanya tunasherekea haya maushindi wenyewe tu.. Si vizuri bhana.. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mkuu ni mda sana umetutenga sana humu jukwaani.. Unafanya tunasherekea haya maushindi wenyewe tu.. Si vizuri bhana.. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu Sembo kama nilivyotabiri leo lazima tushinde tena kwa goli nyingi ndivyo ilivyotokea.Pongezi zikufikie kwa kuendeleza pass nyingi kabisa hapa jukwaani.Leo furaha imerudi hasa baada ya hujuma ya jana.Mungu ibariki Simba TAIFA KUBWA.

Shukrani Mkuu.. Simba hii ni kanyaga twende mpaka mwisho wa msimu.
 
Hata hicho kiwili wili hatakua nacho....maana kwa speed hii ni mpaka klabu bingwa afrika.....
Namuonea huruma sana huyu brigedia wetu.. Sasa hivi ana mkono mmoja. Mechi ijayo sijui itaondoka na kiungo gani cha Brigedia.
 
Uzur wa simba bana hujui nani atayekuua mwendo wa ma suprise tu..wewe Muzamiri wewe
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] RAHA SAAAANA

BARCELONA KASHINDA 3

MNYAMA KASHINDA 3

ATLETICO MADRID KAPIGWA

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MAN FONGO KALA FOUR[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

BADO R.MADRID FURAHA IKAMILIKE[emoji13] [emoji13]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] RAHA SAAAANA

BARCELONA KASHINDA 3

MNYAMA KASHINDA 3

ATLETICO MADRID KAPIGWA

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MAN FONGO KALA FOUR[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

BADO R.MADRID FURAHA IKAMILIKE[emoji13] [emoji13]
Nadhani Mkuu.. Furaha ilikamilika.
 
Leo nyasi za uwanja wa Uhuru zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.

Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.

Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?

1. Toto Africa.
Kacheza: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]

2. Simba S.C
Kacheza: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]

.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]

View attachment 422804

Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika uwanja wa Uhuru


UPDATES;
Dk 90+ 4: Refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira.
Matokeo ni kua.. Simba S.C imeendelea kutakata baada ya kuwadunga 3-0 Toto African.
Wafungaji; Muzamiru Yassin [Goli 2] na Mavugoaaal
Jamani hiyo app inayotoa matokeo na hata msimamo wa ligi inaitwaje?
 
Back
Top Bottom