COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
- Thread starter
- #21
Sawa tutachoma hao fishermenwale ng'ombe pesa ilishapelekwa kujenga SGR, kama vipi na nyie auction hao samaki mfidie wale ng'ombe
Sorry!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tutachoma hao fishermenwale ng'ombe pesa ilishapelekwa kujenga SGR, kama vipi na nyie auction hao samaki mfidie wale ng'ombe
Sorry!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuweni na subira jamani tutatubu tusameheane yaisheWangerudisha kuku na ngombe zetu..hawa lazima tuwachome
Ninyi ni watu wa maneno mengi bila actions, sisi tulipowauza ng'ombe wenu na kuchoma vifaranga hatukupiga makelele, tulitekeleza na mkasikia tu, tekelezeni kama mna huo uwezo,,mnavyoiogopa Tanzania,mlazima mtasikia wameachiwa bila hatua zozote.Wangerudisha kuku na ngombe zetu..hawa lazima tuwachome
wale ng'ombe pesa ilishapelekwa kujenga SGR, kama vipi na nyie auction hao samaki mfidie wale ng'ombe
Sorry!
Hamuwezi kuchukua tough actions against Tanzania, mnajaribu kujikomba ili wakenya waruhusiwe kuja Tanzania, that shall never happen[emoji12]Arrest all of them including all the beggars doting our cities and towns
Kiini macho tu icho wanachezewa na Nchi yao kuonyesha kama wanalipiza kisasi.. Hawana jeuri hio ya kuwashilia Wa Tz.. Unataka wafe Maskini? Hilo ni picha tu wanachezewa..Ninyi ni watu wa maneno mengi bila actions, sisi tulipowauza ng'ombe wenu na kuchoma vifaranga hatukupiga makelele, tulitekeleza na mkasikia tu, tekelezeni kama mna huo uwezo,,mnavyoiogopa Tanzania,mlazima mtasikia wameachiwa bila hatua zozote.
These are just wishes, but in real sense Kenya can't even slap those fishermen.It's not me saying wachomwe its Kenyans on Facebook![]()
![]()
![]()
The guy in the last comment has spoken the truth and Kenyans are way too igrorant to see that, Mmelikoroga MtalinywaIt's not me saying wachomwe its Kenyans on Facebook![]()
![]()
![]()
Kama sheria zenu zinasema hivyo hamna budi kufanyaMlichoma kuku zetu...hao fishermen wangechomwa tu
Huyo ni mwanamgambo wa NRM, anaota bana bado haamini Raila si rais. Ngoja tu, kesho ataamka.The guy in the last comment has spoken the truth and Kenyans are way too igrorant to see that, Mmelikoroga Mtalinywa