Ndugu zangu wana JF,
Nahitaji paka mdogo wa kufuga kwa gharama isiyozidi 25elfu, awe mdogo, asiwe mweusi na awe katika wenye uwezo wa kupambana na panya ikibidi.Inabidi awe DSM nitamfuata mwenyewe popote alipo DSM..
Natanguliza shukurani.
Katabazi* katabazi@hotmail.com
Nahitaji paka mdogo wa kufuga kwa gharama isiyozidi 25elfu, awe mdogo, asiwe mweusi na awe katika wenye uwezo wa kupambana na panya ikibidi.Inabidi awe DSM nitamfuata mwenyewe popote alipo DSM..
Natanguliza shukurani.
Katabazi* katabazi@hotmail.com