25 Bilion DOLLARS, naweza kuwa tajiri namba moja hapa Tanzania

25 Bilion DOLLARS, naweza kuwa tajiri namba moja hapa Tanzania

Wee kweli matter call na una u chalk mwingi saana!! Kabla ya kujimwambafy angalia kwanza mada ipo jukwaa gani!! Yaani we unataka jukwaa la utani tulete vitu serious kama report ya CAG??

MAZA KANYWA FANTA, Antananarivo mkubwa! Kichwa kama Azerbaijan, sura imepinda kama Kyrgyzstan??
Muone kwanza miguu minyoofu kama Uzbekistan.

Ukinijibu wewe ni Liechtenstein msimbe
salababechi!!
 
Back
Top Bottom