29 companies expressed interest in Dar-Kampala gas pipeline

29 companies expressed interest in Dar-Kampala gas pipeline

Hii statement yako ya kutuma proposal ndiyo iliyomo vichwani mwa wanasiasa wengi wa Kenya, too proud. Mwenye kuhitaji ndiye anayepeleka proposal, mbona mlituma waziri wenu wa afya kuja kuomba msaada wa madaktari, kwanini hamkusema " Tanzania tumeni proposal ili mtusaidie madaktari huku kwetu wamegoma?". Museven alikuja kuzungumza na JPM kuhusu bomba la gesi kwenda Uganda, kama ambavyo JPM alivyomuomba Museven bomba la mafuta lipitie TZ, hupaswi kutanguliza ego mbele ukaweka uchumi nyuma.
Unaitwa ujuha..Eti kwa maringo yako useme kwamba hautonunua chochote dukani mpaka mwenye duka akutumie proposal..Ulimbukeni huu
 
Unaitwa ujuha..Eti kwa maringo yako useme kwamba hautonunua chochote dukani mpaka mwenye duka akutumie proposal..Ulimbukeni huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Mbona msitume proposal kwa serikali ya Kenya. Hii chuki kati ya Kenya na Tanzania sijui ilianza lini lakini ina madhara kwetu sote. Tunahitaji gas yenu lakini as long as tunabishana kwa mambo madogo kama mizigo kuzuiliwa kwa border, nadhani hio ndio inafanya Viongozi wa Kenya kuogopa kuingia deal incase mfereji wa gas ikatwe, kisa eti tumebishana tu kidogo. Kuna kutoaminiana kwa pande zote mbili. Ona vile Kenya ina uhusiano wa karibu na Uganda, i wish ingekuwa hivyo hivyo na Tanzania lakini hii vita ilianza kitambo sana, enzi za akina Jomo Kenyatta na Nyerere, hatuwezi kuisuluhisha
Uhusiano upi wa Karibu na Uganda mnao? SGR Project haiwaamshi tu? Uganda does not trust Kenya a reason does not commit to Kenya to any of her mega projects! My friend, smell the coffee!
 
Back
Top Bottom