mm niko vzr 2D character na background Digitization with Flash Professional
- Awe na uzoefu wa kutumia 'software' yoyote ya 2D kutengeneza video ya katuni
- Awe na uwezo wa kutengeneza video ya masaa 10 kwa mwezi
- Awe na elimu yoyote kuanzia darasa la saba
- Malazi ni bure
- Ataanza na mshahara wa Tsh. 500,000/=
- Mwenye hizo sifa, tuwasiliane.
Nakutumia test, ukifanikiwa tuingie kazinimm niko vzr 2D character na background Digitization with Flash Professional
Na mawasiliano mkuumm
- Awe na uzoefu wa kutumia 'software' yoyote ya 2D kutengeneza video ya katuni
- Awe na uwezo wa kutengeneza video ya masaa 10 kwa mwezi
- Awe na elimu yoyote kuanzia darasa la saba
- Malazi ni bure
- Ataanza na mshahara wa Tsh. 500,000/=
- Mwenye hizo sifa, tuwasiliane.
Mm ni graphicx designer hii itanifaa?mm niko vzr 2D character na background Digitization with Flash Professional
Na mawasiliano mkuumm
Mm ni graphicx designer hii itanifaa?
Wenye ujuzi tu ndio wanahitajikaMassa kumi Kwa mwezi duu kwa frame rate Gani?
Huyo mwenye ujuzi utakua umemsomesha mwenyewe Kwamba akutengenezee 2d animation ya 10hrs ambayo Ina standard ya 12 frame per second. Japo commercial ni 24 frame per second. Au unataka utengenezewe slide showWenye ujuzi tu ndio wanahitajika
Hiyo sio kazi kama Vip fanya mwenyeweBado hajapatikana 11/07/2024; wale wanaosema ajira hakuna wamesoma fani gani?
Kama ujuzi unao, fanya hii 'test' tuingie kazini; tuache maneno ya kulalamikaHuyo mwenye ujuzi utakua umemsomesha mwenyewe Kwamba akutengenezee 2d animation ya 10hrs ambayo Ina standard ya 12 frame per second. Japo commercial ni 24 frame per second. Au unataka utengenezewe slide show
Unafanya voice over?Mkuu kama wakiitaji na mtu wa sound over na video editing plas graphics nipo hapa...
Kwa mshahara wa sawa na bure
Ndiwo mkuuUnafanya voice over?
Naomba unitumie namba tuzungumze jamboNdiwo mkuu
Powa mkuu haina shidaNaomba unitumie namba tuzungumze jambo
- Awe na uzoefu wa kutumia 'software' yoyote ya 2D kutengeneza video ya katuni
- Awe na uwezo wa kutengeneza video ya masaa 10 kwa mwezi
- Awe na elimu yoyote kuanzia darasa la saba
- Malazi ni bure
- Ataanza na mshahara wa Tsh. 500,000/=
- Mwenye hizo sifa, tuwasiliane.
TESTok nawez nikakutengenezea hyo kama bado ajapatikana mtu vip nikutumie wap ? lakin nawek watermark katikati 👤 nipe mawasiliano yako nikupe sample zangu za animation kabla sijapotez mda zaid.