KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Heshima kwenu wanabodi,
Nimekutana na hii taarifa ya Mkutano wa Vijana ambao wanafanya Kilimo biashara na Maonyesho ya technolojia na vifaa vya kilimo ambayo yanafanyika kwa mara ya pili hapa nchi. Hii ni fursa kwa vijana ambao wapo kwenye kilimo kukutana na waonyeshaji kutoka nje ya nchi kujione technolojia mbali mbali ambazo zinaweza kuwasaidia katika kubadilisha shughuli zao na kuongea tija.
Pia itatoa fursa kwa vijana ambao wanataka kuingia katika shughuli za kilimo kujifunza jinsi wenzao ambao wamefanikiwa katika nyanja ya kilimo..
Mkutano huu wa Siku Mbili utawakutanisha vijana wapatao 500 kutoka mikoa mbali mbali, viongozi kutoka serikalini,sekta binafsi,asasi za kiraia,watafiti,taasisi za kifedha na mashirika ya kimataifa lengo likiwa ni kujadili kwa pamoja changamoto mbali mbali ambazo vijana wanakumbana nazo katika shughuli za kilimo.
Lengo la Mkutano huu ni kuwapatia fursa vijana kutambua fursa mbali mbali zilizopo kwenye kilimo na kuchangia mawazo ni kwa jinsi gani serikali kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wanaweza leta mazingira wezeshi katika kilimo.
KILIMO KINALIPA, JAWABU LA AJIRA, VIJANA TUCHANGAMKIE FURSA .....
Date: 2015_ 9th- 10th April, 2015
Venue: Mlimani City
Nimekutana na hii taarifa ya Mkutano wa Vijana ambao wanafanya Kilimo biashara na Maonyesho ya technolojia na vifaa vya kilimo ambayo yanafanyika kwa mara ya pili hapa nchi. Hii ni fursa kwa vijana ambao wapo kwenye kilimo kukutana na waonyeshaji kutoka nje ya nchi kujione technolojia mbali mbali ambazo zinaweza kuwasaidia katika kubadilisha shughuli zao na kuongea tija.
Pia itatoa fursa kwa vijana ambao wanataka kuingia katika shughuli za kilimo kujifunza jinsi wenzao ambao wamefanikiwa katika nyanja ya kilimo..
Mkutano huu wa Siku Mbili utawakutanisha vijana wapatao 500 kutoka mikoa mbali mbali, viongozi kutoka serikalini,sekta binafsi,asasi za kiraia,watafiti,taasisi za kifedha na mashirika ya kimataifa lengo likiwa ni kujadili kwa pamoja changamoto mbali mbali ambazo vijana wanakumbana nazo katika shughuli za kilimo.
Lengo la Mkutano huu ni kuwapatia fursa vijana kutambua fursa mbali mbali zilizopo kwenye kilimo na kuchangia mawazo ni kwa jinsi gani serikali kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wanaweza leta mazingira wezeshi katika kilimo.
KILIMO KINALIPA, JAWABU LA AJIRA, VIJANA TUCHANGAMKIE FURSA .....
Date: 2015_ 9th- 10th April, 2015
Venue: Mlimani City