Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Maigizo umeanza lini kasieHeey John,
How are you, nice to meet you here.
So, are you ready??!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo umeanza lini kasieHeey John,
How are you, nice to meet you here.
So, are you ready??!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Wanaume wa hivyo utawapata kanisani tu, njoo kanisani kwetu.Mwanaume wa ivyo Kama yupo namtaka hasa hapo kwenye kuprotect na kurespect..[emoji41]
Njoo kwenye mkesha wa kusifu na kuabudu, utafurahi wanaume wa kiroho wana hizo sifa zoteAkipatikana mwanaume atayefanya haya yote nakubali kuolewa nae na ntatulia kwake hadi Sir God aseme sasa basi.
Waoh!! Wapi huko[emoji38] [emoji38] [emoji38] Wanaume wa hivyo utawapata kanisani tu, njoo kanisani kwetu.
Anatakiwa awe wa kiroho , sio nyie wavuta bangi hii kwenu ni ngumu sanaHuyu mwanaume wa hivi atapata tabu sana maishani..
Hii love ni ya kichinaAahahahahhaaahahahaa yaalaaahhhh
Please take me away from here, let's disappear without leaving a trace or mark for other members to follow us.
Lovie Dovie.
Ngoja nitakupa codeWaoh!! Wapi huko
SawaNgoja nitakupa code
Nipo hapo,I love u.....Akipatikana mwanaume atayefanya haya yote nakubali kuolewa nae na ntatulia kwake hadi Sir God aseme sasa basi.
Wanatiaga huruma....Huyu mwanaume wa hivi atapata tabu sana maishani..
Mwanajeshi atakufaa coz wananidhamu na.......Mwanaume wa ivyo Kama yupo namtaka hasa hapo kwenye kuprotect na kurespect..😎
JOHNKEKE nasubiria ulete stori yako ya kula tunda kimashihara kule kwenye uzi pendwa mkuu!!Yeees!
The fondling, carelessing, with rythmic breathing!
Thanks again babe!
Togather forever!
Ona sasa akili zenu zilivyo.Mh sio kwa hawa pasua kichwa,utafanywa msukule....
Sasa kwa haya majibu Mungu anajua...Ona sasa akili zenu zilivyo.
Unaenda kuchukua viraka vilivyotengenezwa,tengeneza wa kwako utaishia pabayaMimi nataka mwanaume mzee hawa hawana noma hawa vijana naona wako kwenye mashindano ya kupiga wake zao utadhani wameahidiwa tuzo.
Karibu sanaAkipatikana mwanaume atayefanya haya yote nakubali kuolewa nae na ntatulia kwake hadi Sir God aseme sasa basi.