INAUZWA 3 Pages business plans for sale with revenue potential of 250,000 per day

INAUZWA 3 Pages business plans for sale with revenue potential of 250,000 per day

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Habari za wakati;
Kwa wale ambao wana hanangaika sana kuhusu aina ya Biashara kiwango cha mtaji na usimamizi wa biashara zao tunawapatia huduma ya ama kuwaandalia a custom business plan au ready made business plans ambazo zinakuwa na kurasa tatu tu zikiwa zimesheheni taarifa zote muhimu kama za soko, mauzo, fursa changamoto na kiwango cha mtaji na mfumo wa uendeshaji.

Gharama za huduma hizi ni kuanzia TZS 35,000. ambapo utapatiwa Business Plan ukafanyie kazi.

Tunakupa full Data ambazo unaweza kufanyia kazi na sio maelezo mengi. Unaweza chagua lugha iwe Kiingereza au Kiswahili.

Kwa mawasiliano Email:masokotz@yahoo.com au simu 0710323060

Sifa za Business Plan hii ni kama ifuatavyo:

  1. Customized to your goals,location,capital requirements,objectives etc
  2. Comes with one year warrant .
  3. Execution support included for one year
  4. Financing Options Available if needed(Pitching,loan applications,fundraising etc)
 
Kwa hiyo wewe ndio hautaki kuingiza 250,000 per day?
Mkuu,kuuza business plan hakumaanishi sitaki kuingiza 250,000 kwa siku.Ila kama tafsiri yako ni hiyo uko huru kufikiri hivyo.Mimi nikiuza Business plan 10 kwa siku naingiza hicho kiasi so Nataka sana ndo maana unaona nahangaika kuafuta wateja.Nimekujibu swali lako?
 
Mkuu,kuuza business plan hakumaanishi sitaki kuingiza 250,000 kwa siku.Ila kama tafsiri yako ni hiyo uko huru kufikiri hivyo.Mimi nikiuza Business plan 10 kwa siku naingiza hicho kiasi so Nataka sana ndo maana unaona nahangaika kuafuta wateja.Nimekujibu swali lako?

Anachomaanisha jamaa ni kwamba, katika hizo idea mnazowashauri au kuwauzia watu, nyie hamjataka kujaribu hata moja mmeona bora mjikite hapo tu kwenye kuuza mawazo/ idea na sio kuzifanyia kazi?

Mnaweza kueleza kazi mnazofanya kuingiza kipato zaidi ya kuuza hizi Business plan?
 
Anachomaanisha jamaa ni kwamba, katika hizo idea mnazowashauri au kuwauzia watu, nyie hamjataka kujaribu hata moja mmeona bora mjikite hapo tu kwenye kuuza mawazo/ idea na sio kuzifanyia kazi?

Mnaweza kueleza kazi mnazofanya kuingiza kipato zaidi ya kuuza hizi Business plan?
Mkuu,Hii ya kuuza ideas sio kazi?Unafikiri tunazouza hatuzifanyii kazi?Nilichoelewa ni kwamba huyu bwana akili zinafikiri kwamba hiki ninachofanya pia sio biashara na kwamba huwezi kuuza na kununua business idea kumbe inawezekana sana.Unafikiri tumejikita hapo tu?Mimi mwenyewe na wenzangu tunafanya zaidi ya business 5 tofauti na zote ni kwa ajili ya kuelewa vizuri.Mfano.Tunazalisha bidhaa na huduma tofauti.Tunasambaza bidhaa na huduma tofauti, Na hizo zote ni idea ambazo tunaweza kuziuza na tunapenda kama mtu haamini awasiliane nasi then ataelewa tunachokiuza ni nini.Pembeni ya hapo mi naona mtu kama huyu ni looser flani ambaye ameshakata tamaa na ambaye analenga zaidi kuambukiza wengine ugonjwa wake huo ili loosers wakiwa wengi apate faraja.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Mkuu,Hii ya kuuza ideas sio kazi?Unafikiri tunazouza hatuzifanyii kazi?Nilichoelewa ni kwamba huyu bwana akili zinafikiri kwamba hiki ninachofanya pia sio biashara na kwamba huwezi kuuza na kununua business idea kumbe inawezekana sana.Unafikiri tumejikita hapo tu?Mimi mwenyewe na wenzangu tunafanya zaidi ya business 5 tofauti na zote ni kwa ajili ya kuelewa vizuri.Mfano.Tunazalisha bidhaa na huduma tofauti.Tunasambaza bidhaa na huduma tofauti, Na hizo zote ni idea ambazo tunaweza kuziuza na tunapenda kama mtu haamini awasiliane nasi then ataelewa tunachokiuza ni nini.Pembeni ya hapo mi naona mtu kama huyu ni looser flani ambaye ameshakata tamaa na ambaye analenga zaidi kuambukiza wengine ugonjwa wake huo ili loosers wakiwa wengi apate faraja.

Ni mtazamo wangu tu.

Umejibu vema mkuu, nimependa zaidi hapo ulipothibitisha nyie wenyewe kujihusisha na biashara, inaleta hamasa sana kwa wateja.

Tatizo letu wengi hatuthamini au kuelewa umuhimu wa Business Plan/ Idea, taasisi za kifedha wanaweza kukupatia mkopo kwa namna ulivyoainisha na kuchambua biashara yako.

Ikiwa mmebobea kwenye hiyo tasnia huku mnaingiza mpunga kwa kutekeleza kwa vitendo ni jambo la kheri.
 
Umejibu vema mkuu, nimependa zaidi hapo ulipothibitisha nyie wenyewe kujihusisha na biashara, inaleta hamasa sana kwa wateja.

Tatizo letu wengi hatuthamini au kuelewa umuhimu wa Business Plan/ Idea, taasisi za kifedha wanaweza kukupatia mkopo kwa namna ulivyoainisha na kuchambua biashara yako.
Mkuu,Kampuni yetu,imejikita zaidi katika utafiti.Tunafanya kazi na wafanya biashara ndogo na za kati ka partners as well as owners.Tunafahamu value chain ya biashara mbalimbali,changamoto zako na njia rahisi ya kumake.Tuna takwimu za sales biashara zaidi ya 150 ndogo ndogo na za kati.Tuna taarifa za suppliers,manufactures na buyers wa bidhaa zaidi ya 25.

Tuna ready market base ya wateja zaidi ya 1000 wa bidhaa na huduma tofauti na bidhaa tofauti ambao tunafahamu taarifa zao mbalimbali kama buying behaviour,kipato etc.Hiki ni sehemu tu ya tunachompatia mteja.Zoezi la kukusanya taarfia hizi ni endelevu na kila mwezi tunakuwa na taarifa mpya
 
Kabla sijanunua hiyo “business plan” You will have to show me hiyo actual business inayoingiza 250,000/- per day kama zao la plan hiyo!

Deal?
 
Kabla sijanunua hiyo “business plan” You will have to show me hiyo actual business inayoingiza 250,000/- per day kama zao la plan hiyo!

Deal?
Mkuu,Unatka kununua business au business plan?Kama unataka kuona business inayoingiza kiasi hicho cha PESA gharama yake ni TZS 10,000 bila business plan.DEAL?
 
Mkuu,Kampuni yetu,imejikita zaidi katika utafiti.Tunafanya kazi na wafanya biashara ndogo na za kati ka partners as well as owners.Tunafahamu value chain ya biashara mbalimbali,changamoto zako na njia rahisi ya kumake.Tuna takwimu za sales biashara zaidi ya 150 ndogo ndogo na za kati.Tuna taarifa za suppliers,manufactures na buyers wa bidhaa zaidi ya 25.

Tuna ready market base ya wateja zaidi ya 1000 wa bidhaa na huduma tofauti na bidhaa tofauti ambao tunafahamu taarifa zao mbalimbali kama buying behaviour,kipato etc.Hiki ni sehemu tu ya tunachompatia mteja.Zoezi la kukusanya taarfia hizi ni endelevu na kila mwezi tunakuwa na taarifa mpya

Asante,
Umeeleza vizuri kidogo..... nakuja INBOX na mimi nikuuzie wazo kwa shilingi 3,500 TZS (joke)
 
Mkuu,Unatka kununua business au business plan?Kama unataka kuona business inayoingiza kiasi hicho cha PESA gharama yake ni TZS 10,000 bila business plan.DEAL?

[emoji848][emoji12]
 
Ukiona mtu anakuonyesha fursa ya kupiga mahela ile hali yeye haifanyi basi jua wewe ndie fursa yenyewe na ndio utatoa hela.
Mkuu,Kwanza kabisa sisi wote ni fursa.Kama unataka kufanikiwa lazima uwe unatazama kila kitu na kila mtu ka Fursa.Sasa issue inakuwa uwezo wa kutumia Hio fursa hapo tunatofautiana.Eneo lingine ambalo tunatofautiana ni madhaifu yetu na Changamoto ambazo huwa zinakuja na FURSA yoyote.

Kwa hivyo Basi,Huyu bwana ili aweze kupata hii FURSa lazima yeye awe FURSA kwangu.Ano uwezo wa kuchagu ama kuipoteza hii fursa ama kuitumia kwa kuzingatia kwamba Kila Fursa ina Gharama ambayo kiuchumi inaitwa OPPORTUNITY COST ambayo hata unaposoma na kuandika comment iwe nzuri au mbaya lazima unaingia hiyo Gharama ya Fursa kwani muda wako na bundle lako ungeweza kulitumia vitu vingi sana ambavyo vingeongeza thamani maradufu.

Swali la kujiuliza ni Je Post hii uliyosoma na comment hii uliyoandika ina thamani ya muda,pesa na bundle uliyotumia au ndo umeshakula hasara?Kwa mimi binafsi kama unavyoona niko kazini kukupa majibu huku nikiendelea kushawishi wengine ili waelewe kuhusu Hii FURSA.
 
Ukiona mtu anakuonyesha fursa ya kupiga mahela ile hali yeye haifanyi basi jua wewe ndie fursa yenyewe na ndio utatoa hela.
Mkuu,Kwanza kabisa sisi wote ni fursa.Kama unataka kufanikiwa lazima uwe unatazama kila kitu na kila mtu ka Fursa.Sasa issue inakuwa uwezo wa kutumia Hio fursa hapo tunatofautiana.Eneo lingine ambalo tunatofautiana ni madhaifu yetu na Changamoto ambazo huwa zinakuja na FURSA yoyote.

Kwa hivyo Basi,Huyu bwana ili aweze kupata hii FURSa lazima yeye awe FURSA kwangu.Ano uwezo wa kuchagu ama kuipoteza hii fursa ama kuitumia kwa kuzingatia kwamba Kila Fursa ina Gharama ambayo kiuchumi inaitwa OPPORTUNITY COST ambayo hata unaposoma na kuandika comment iwe nzuri au mbaya lazima unaingia hiyo Gharama ya Fursa kwani muda wako na bundle lako ungeweza kulitumia vitu vingi sana ambavyo vingeongeza thamani maradufu.

Swali la kujiuliza ni Je Post hii uliyosoma na comment hii uliyoandika ina thamani ya muda,pesa na bundle uliyotumia au ndo umeshakula hasara?Kwa mimi binafsi kama unavyoona niko kazini kukupa majibu huku nikiendelea kushawishi wengine ili waelewe kuhusu Hii FURSA.
 
Back
Top Bottom