Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Tutajie kwanza kiasi cha mtaji wa kuweza kuingiza hiyo 250k kwa siku, ili kabla ya kununua huo mpango kazi wako... tujipime kama tunao mtaji huo au lah!
Mkuu,
Sidhani kama hii huduma itakufaa wewe maana wewe unatafuta uthibitisho ya kwamba huwezi na sio kwamba unaweza.Kwanza anza kwa kujaribu kufikiria kama ukiwa una uwezo wa kuingiza TZS 250,000 kwa siku maisha yako yatakavyobadilika kisha ukiona mabadiliko yakakuvutia basi unachukua simu yako unapiga unasikiliza ujumbe.
Ukiona unakufaa unanunua ukiona haukufai unaacha.DEAL?
Sio dharau,Ni challenge tu kwako ila ukiamua kuiona kama dharau then nalo ni tatizo.Katika mapambano ya kutafuta riziki usiogope if your ego is bruised,ni ajali kazini na wakati mwingie pia usiogope kujeruhi hisia za wengine kwani ni sehemu ya strugle to succeed cha muhimu ni kukung'uta umbi,kupiga simu na kusikiliza ujumbe.Kama ujumbe unakufaa unaufanyia kazi na kama hakufai you move to the next step.Acha madharau!
Wanaume wa Dar bhana. Eti kukuelekeza buku kumi. Yaani zile zile unaenda sehemu unajaribu kuulizia jamani Bin Sulm tyres wako wapi? KUKUELEKEZA SHS BUKU. MscheeeewMkuu,Unatka kununua business au business plan?Kama unataka kuona business inayoingiza kiasi hicho cha PESA gharama yake ni TZS 10,000 bila business plan.DEAL?
Mkuu,muda ni pesa,kama wewe unafikiri muda wake sio pesa ni wewe.Vile Vile ninapozungumzia kukupeleka kwanye biashara ambayo ina sales ya kiasi hicho cha Pesa ninakupeleka kwa mteja,muuzaji na supplier.So Unaweza kupata picha hasa ya hio 250k unaipataje ili usije kufikiri ni ngumu sana au ni rahisi sana.Sasa kama unataka kupata huduma kama hio bure basi una safari ndefu sana.Wanaume wa Dar bhana. Eti kukuelekeza buku kumi. Yaani zile zile unaenda sehemu unajaribu kuulizia jamani Bin Sulm tyres wako wapi? KUKUELEKEZA SHS BUKU. Mscheeeew
Unapoteza muda kubishana na viaziMkuu,Hii ya kuuza ideas sio kazi?Unafikiri tunazouza hatuzifanyii kazi?Nilichoelewa ni kwamba huyu bwana akili zinafikiri kwamba hiki ninachofanya pia sio biashara na kwamba huwezi kuuza na kununua business idea kumbe inawezekana sana.Unafikiri tumejikita hapo tu?Mimi mwenyewe na wenzangu tunafanya zaidi ya business 5 tofauti na zote ni kwa ajili ya kuelewa vizuri.Mfano.Tunazalisha bidhaa na huduma tofauti.Tunasambaza bidhaa na huduma tofauti, Na hizo zote ni idea ambazo tunaweza kuziuza na tunapenda kama mtu haamini awasiliane nasi then ataelewa tunachokiuza ni nini.Pembeni ya hapo mi naona mtu kama huyu ni looser flani ambaye ameshakata tamaa na ambaye analenga zaidi kuambukiza wengine ugonjwa wake huo ili loosers wakiwa wengi apate faraja.
Ni mtazamo wangu tu.
Kwa hiyo unatutisha sio. Kwamba wewe ni smarter kutushinda sisi fursa wako! Ambao hatutaki hii service yako na tuna comment ni kwamba tunapoteza mda sio! Baaasi kusingekua na jukwaa la "wakubwa" humu jf maana ni kupoteza muda yaaani mda wote tunakodoa mimacho tu kutafta fursa.Mkuu,Kwanza kabisa sisi wote ni fursa.Kama unataka kufanikiwa lazima uwe unatazama kila kitu na kila mtu ka Fursa.Sasa issue inakuwa uwezo wa kutumia Hio fursa hapo tunatofautiana.Eneo lingine ambalo tunatofautiana ni madhaifu yetu na Changamoto ambazo huwa zinakuja na FURSA yoyote.
Kwa hivyo Basi,Huyu bwana ili aweze kupata hii FURSa lazima yeye awe FURSA kwangu.Ano uwezo wa kuchagu ama kuipoteza hii fursa ama kuitumia kwa kuzingatia kwamba Kila Fursa ina Gharama ambayo kiuchumi inaitwa OPPORTUNITY COST ambayo hata unaposoma na kuandika comment iwe nzuri au mbaya lazima unaingia hiyo Gharama ya Fursa kwani muda wako na bundle lako ungeweza kulitumia vitu vingi sana ambavyo vingeongeza thamani maradufu.
Swali la kujiuliza ni Je Post hii uliyosoma na comment hii uliyoandika ina thamani ya muda,pesa na bundle uliyotumia au ndo umeshakula hasara?Kwa mimi binafsi kama unavyoona niko kazini kukupa majibu huku nikiendelea kushawishi wengine ili waelewe kuhusu Hii FURSA.
Wewe una matatizo yako binafsi naona.Sa alokutishia ni nani?Alosema ni smart kuliko wewe ni nani?Kwa hiyo unatutisha sio. Kwamba wewe ni smarter kutushinda sisi fursa wako! Ambao hatutaki hii service yako na tuna comment ni kwamba tunapoteza mda sio! Baaasi kusingekua na jukwaa la "wakubwa" humu jf maana ni kupoteza muda yaaani mda wote tunakodoa mimacho tu kutafta fursa.
Mkuu,sisi hatukupi business plan template,tunakuandalia business plan ambayo unaweza kuifanyia kazi + free one year support.Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kwa simu 0710323060 au masokotz@yahoo.comHizo Business Plan zinafanya kazi au ndio kupotezeana pesa? Maana unaweza toa business plan kisha ukalipwa ukakacha bila kutoa after sales support.
Hanamtaji au uthubutu wa kufanya au Yeye ni kanyangaKwa hiyo wewe ndio hautaki kuingiza 250,000 per day?
Kiukweli mimi nakubaliana na mtoa post. Ni tabia mbaya sana mtu anatoa tangazo lake la biashara halafu mtu anakuja na hoja za kijinga jinga kumkatisha tamaa. Huyu anauza program yake. Ni vyema basi mtu kama hauko interested au unaona ni ujinga ukae tu kimya. Lakini ukianza ooh mbona wewe mwenyewe haufanyi au ukaanza kumkatisha tamaa. Wewe unafaidika na nini?Mkuu,Hii ya kuuza ideas sio kazi?Unafikiri tunazouza hatuzifanyii kazi?Nilichoelewa ni kwamba huyu bwana akili zinafikiri kwamba hiki ninachofanya pia sio biashara na kwamba huwezi kuuza na kununua business idea kumbe inawezekana sana.Unafikiri tumejikita hapo tu?Mimi mwenyewe na wenzangu tunafanya zaidi ya business 5 tofauti na zote ni kwa ajili ya kuelewa vizuri.Mfano.Tunazalisha bidhaa na huduma tofauti.Tunasambaza bidhaa na huduma tofauti, Na hizo zote ni idea ambazo tunaweza kuziuza na tunapenda kama mtu haamini awasiliane nasi then ataelewa tunachokiuza ni nini.Pembeni ya hapo mi naona mtu kama huyu ni looser flani ambaye ameshakata tamaa na ambaye analenga zaidi kuambukiza wengine ugonjwa wake huo ili loosers wakiwa wengi apate faraja.
Ni mtazamo wangu tu.
Mkuu ukiona watu wanakukatisha tamaa ujue kwenye Righ Track.Mpaka sasa hivi Hapa JF Tayari nina wateja zaidi ya 15 ambao ninawapatia huduma.Vile vile kuna ambao tayari wamenipa mrejesho juu ya upekee wa huduma zetu baada ya kuwasiliana nasi na kusikia kile ambacho tumeweka sokoni.Kwa ufupi ni kwamba Mpaka wakati huu nafurahia sana hawa wakosoaji kwani baadhi ya mitazamo yao inanisaidia sana kukuza biashara na kufikia watejaKiukweli mimi nakubaliana na mtoa post. Ni tabia mbaya sana mtu anatoa tangazo lake la biashara halafu mtu anakuja na hoja za kijinga jinga kumkatisha tamaa. Huyu anauza program yake. Ni vyema basi mtu kama hauko interested au unaona ni ujinga ukae tu kimya. Lakini ukianza ooh mbona wewe mwenyewe haufanyi au ukaanza kumkatisha tamaa. Wewe unafaidika na nini?