Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matunzo tukuna boxer 150 imeletwa hapa ofisini, haina hata kiezi sita muungurumo siku hizi utadhani sacania 113
sio Boxer tu hata pikipiki nyingine unatakiwa ufanye mambo yafuatayo kama unataka kuipaki kwa muda mrefu;Ukitaka kuipaki boxer pasipo kuitumia kwa muda wa kama miezi minne u atakiwa ufanyaje ili utakapokuja kuitumia tena iwe in gud comdition
matunzo tuu mkuu, shida inaanzaga kwenye kubadili oil & oil filter kwa wakatikuna boxer 150 imeletwa hapa ofisini, haina hata kiezi sita muungurumo siku hizi utadhani sacania 113
ni kweli kabisa mkuu, spea OG ni bei ila ni genuine haswa na ukiweka ni mkatabaWatu wengi wanaziogopa sana boxer lakn n bonge la boda ...sema inahitaj mtu anayejielewa. Spair pia og zmechangamka ninalo kama la mtoa post aseee mhindi hapa alicheza kama pele...hutataman kuendesha mchina yoyote ukiachana na speed,power boxer haina overheating na vibration za hovyo kama boda za mchna
kwa sasa sijajua naskia zinafika 3MSh ngap
tupe uzoefu kakaNyie hamjaionja haojue express nyie
Boxer 2.6 Mkwa sasa sijajua naskia zinafika 3M
bei hiyo ni kwa 150 au 125?Boxer 2.6 M
BM 150bei hiyo ni kwa 150 au 125?
Mkoa gani hiyoBM 150
TaboraMkoa gani hiyo
Oil huwa nabadilisha kulingana na mizunguko niliyoifanya...Mfano, nikifanya route ndefu ndefu nyingi huwa naibadili baada ya Km 1,000.Oil unabadilisha kila baada ya km ngapi? vip kuhusu oil filtre unabadilisha kila unapobadilisha oil?
Miye ninayo boxer kama yako na ina miaka 2 lakini ilipofika km 20,000 ilianza kula oil sana now nimebadilisha piston ring imerudi kuwa normal
Kinoma, boxer huwa zinachoka vibaya.Na TVS pia wapo vizuri..