30,000 Likes


Hiyo perfume inaonekana fake
 
Wapendwa katika Bwana, leo imebidi nitafute na smartphone ili niconfirm kwa picha kuwa mzigo wangu nimeupata kama unavyoonekana hapo.
RRONDO yani leo maombi yote ni juu yako teh. You shall never lack anything IJN, siku zote ukawe na utoshelevu.

Atakayependa hicho kitenge kinachoonekana hapo, anaweza tu akani-pm (tangazo nimelipia)

c.c Mshana Jr -KANA- Eli79 Mzigua90 et al
 
Uko fastaa.. kitenge nimekipenda ila perfume nimeipenda zaidi. Natamani kuja pm nashindwa ila nilifanikiwa kufanya ulichoniambia mama.
Ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah sijataka kuchelewa.

Umeshindwa kuja pm kwamba kuna tatizo au umeshafunga pm lol? Dooh kama umefanikiwa hongera sana, maana. Tena ngoja nikachungulie nione inavyoonekana now
Uko fastaa.. kitenge nimekipenda ila perfume nimeipenda zaidi. Natamani kuja pm nashindwa ila nilifanikiwa kufanya ulichoniambia mama.
Ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…