30,000 Likes

Hahahaaa.

Huyo dawa yake ni kumwachia hiyo Tecno [hivi ni Tecno au..?] halafu wewe unatunukiwa iPhone X Plus.

Ila alivo mjanja si ajabu akastukia dili...
Mjanjaaa. Tulikuaga tunapambania Samsung yangu. Sasa hiv nimebaki na hiki kimeo vita imekua kubwa zaidi.

P.S. nasubiri zawadi zangu nimringishie Heaven Sent [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjanjaaa. Tulikuaga tunapambania Samsung yangu. Sasa hiv nimebaki na hiki kimeo vita imekua kubwa zaidi.

P.S. nasubiri zawadi zangu nimringishie Heaven Sent [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
hahha kizuri tule wote ndugu yangu. Hii perfume tutakuwa tunatumia wote teh (kuibeba tu kwenye pochi na kwenye nguo zinukiage)
 
Nimependa kitenge

[emoji252] [emoji479]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…