30,000 Likes

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Jr[emoji769]
 
Jana nikaacha MPESA hewani
Ajabu nimekuta upungufu wa 25%

[emoji252] [emoji479]
 
Hahahaha nipe mimi

Sent from my TECNO-C5 using Tapatalk
Nipe mimi kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa umesubiri bus saa nzima yamekuja matatu mfululizo sijui utapanda lipi?!
Na mimi nipe tuuuuuuu
 
[emoji15] [emoji15] [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Jr[emoji769]
Mkuu hivi hii kitu wanaita chuma ulete ipo? Nakumbuka nishaenda duka moja la mpemba kariakoo aliporudisha chenji yangu aliiweka ubaoni hakunipa mkononi. Nilipouliza watu wakasema ndio tabia yao hio kama wahindi wanaogopa chuma ulete!
 
Mkuu hivi hii kitu wanaita chuma ulete ipo? Nakumbuka nishaenda duka moja la mpemba kariakoo aliporudisha chenji yangu aliiweka ubaoni hakunipa mkononi. Nilipouliza watu wakasema ndio tabia yao hio kama wahindi wanaogopa chuma ulete!

chuma ulete ni pepo la kimaskini... Ni story zaidi kuliko uhalisia ila hii kitu ipo na masharti yake yanatofautiana ila hawezi kuchukua zaidi ya mahitaji yake na mara nyingi ni pesa ndogondogo chini ya elfu mbili na ikizidi sana 5000

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…