We can raise funds for good cause
Usije tu ukamsumbua bibi yangu. Kwanza utapokelewa na ughonile
Poa za washindi wote wawili?
Wamepotea wote?Poa za washindi wote wawili?
Jr[emoji769]
Hata kama ni la kuvua nguo naomba unitagHuu uzi umenipa wazo.
Nami ntaanzisha shindano mahsusi kwa wadada tu na mshindi atajipatia $100.00 za Ngabu.
Ngoja nifikirie ni aina gani ya shindano halafu nilianzishe...
Just tell them that am not harvest bring/chuma ulete[emoji23] [emoji23] [emoji23] theoryIm a sponsor just like u. Im not entitled to that cash.
Hahahaaa. Tena navulia humu humu jfπ±π±π±π±
π±π±π±π±
What a good Monday
Hahahaaa sikutagi ukija unakuta maonyesho yameisha. Usubiri dau lingine litangazweππUni-tag ukiwa unavua!