Wanaogopa utakomba pesa zao.. @Just tell them that am not harvest bring/chuma ulete[emoji23] [emoji23] [emoji23] theory
Jr[emoji769]
Yesπ³π³π±
Ndiyo ili siku nyingine ukumbuke kunitag.Unalipiza...
Duh nimekosa Likes zako...karibu PM siku hizi kuna Like optionNdiyo ili siku nyingine ukumbuke kunitag.
Yaani Leo ningeona mapema ningelike hadi post yako ya kwanza tangu ujiunge jf. Na kama kuna uwezekano wa kulike pm ningelike hadi huko.
Sinaga uzembe kazini
Sent from my TECNO-C5 using Tapatalk
Kwa mtindo huu wa haya mashindano ni wengi wataingia mtegoni! Tuwe makini sana na hii "michezo"Huu uzi umenipa wazo.
Nami ntaanzisha shindano mahsusi kwa wadada tu na mshindi atajipatia $100.00 za Ngabu.
Ngoja nifikirie ni aina gani ya shindano halafu nilianzishe...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli? Ila sasa mpaka pawe na dau.Duh nimekosa Likes zako...karibu PM siku hizi kuna Like option
Nimetoa angalizo tu mkuu na nina imani wapo walionielewa.Mitego gani mkuu? Mfano...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Unataka akupe kabla ya shindano eehNikipata 100$ ya NN
Najitoa jf
[emoji252] [emoji479]
MmeanzaNimetoa angalizo tu mkuu na nina imani wapo walionielewa.
Hahaha hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Unataka akupe kabla ya shindano eeh
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata kama ni la kuvua nguo naomba unitag
Sent from my TECNO-C5 using Tapatalk