30+ Woman Single & searching

30+ Woman Single & searching

Mungu akupe hitajila moyo wako 💐❤️
 
Utapata wa kufanana na wewe, yaani iwe 1-1 ndio walau kazi itakuwa rahisi.
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.
Baba yake na mtoto yupo hai?
Tuanzie hapa kwanza
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.

Mbona kama mwandiko wa mdada fulani anayependa penda mada mada za mahusiano humu…
Anyway kila la heri.
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.
Nijibu pm.. au bado unaangalia angalia kuzuri zaidi?
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.
Nicheki PM for discussion
 
Kabla mechi haijaanza tayari, 1-0.Hapo mwenyeji anashinda kwa faida ya Goli la nyumbani 🙄😬😂
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.
Ile kauli yenu "wanaume ni mbwa" baada ya kifika 30 umeisahau, umeipuuza, umeikaidi au umebaini nini mbona haujaitumia leo.

Si mlikua mnasema mnasoma ili mpate kazi "mjikomboe" toka kwa wanaume mbwa na makatili, sasa umeshapata kazi vipi tena ?!
 
Ile kauli yenu "wanaume ni mbwa" baada ya kifika 30 umeisahau, umeipuuza, umeikaidi au umebaini nini mbona haujaitumia leo.

Si mlikua mnasema mnasoma ili mpate kazi "mjikomboe" toka kwa wanaume mbwa na makatili, sasa umeshapata kazi vipi tena ?!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 USIHUKUMU MKUUUU
 
Wasalam,
Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi karibuni sana.
Welcome❤️
 
Back
Top Bottom