$31 Billion trade hub largest in East and Central Africa.

$31 Billion trade hub largest in East and Central Africa.

YYou should also know Tanzania is part of the Silk. Magufuli never attended the meeting but he was represented by the Minister of Transport and the RC of Tanga. Thus how we got the investment of that Cement factory which will be used in the construction of the silk route.
 
Soma vizuri usikulupuke hiyo $31 million niya kulipa watu waliokuwa wanaishi Kurasini kama fidia. Hahaaaaa. Inakuchoma. Soma vizuri
Hajui kusoma chezea kingereza wewe

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Soma vizuri usikulupuke hiyo $31 million niya kulipa watu waliokuwa wanaishi Kurasini kama fidia. Hahaaaaa. Inakuchoma. Soma vizuri
sio ya kuwalipa, tulishalipwa ndugu, kama unakumbuka last year zilibomolewa nyumba zaid ya mia maeneo ya mivinjeni pale coz watu washakula pesa za fidia then kuhama wanasuasua, wengine tushasahau kama tuliwahi kuishi kurasini, kinachosubiriwa pale ni ujenzi tu, malipo yalifanyika tangu Enzi za jakaya.

ni eneo kubwa sana, sijui patakuaje, then BRT phase 2 inaenda kuanza anga zilezile, plus upanuz wa Bandar, this is TZ bana, naskia rahaaaa
 
Back
Top Bottom