35 Most Elite Fighting Military Teams From Around The World

35 Most Elite Fighting Military Teams From Around The World

And that is just kenya police Hatujawai Onyeshwa anything about the special forces in somalia

We don know anything their Size is Classified Their Identy is classified Their operations are classified especially all somali missions Their bases are classified The only picture i have about Kenya KDF SF is

1476726873653.jpg

1476726851083.jpg

1476726901385.jpg
1476726913945.jpg
1476726934769.jpg


They are Classified Head to Toe!!
 
Kenya wildlife service Rangers in Sololo Ranch Kenya Ethiopia Border!
1476727026583.jpg


KDF SOMALIA PATROL
1476727101881.jpg
 
And that is just kenya police Hatujawai Onyeshwa anything about the special forces in somalia

We don know anything their Size is Classified Their Identy is classified Their operations are classified especially all somali missions Their bases are classified The only picture i have about Kenya KDF SF is

View attachment 419832
View attachment 419831
View attachment 419833View attachment 419834View attachment 419835

They are Classified Head to Toe!!
T
1476730035440.jpg
1476730078831.jpg
true dat. In 2011 rumour had it that the were roughly a battalion size but now... not sure!
1476730007963.jpg
 
achaneni na haya wabongo nanyi....nliona picha za special forces wao zimewekwa na jamma flani ctamtaja kidogo nivunjike mbavu.waambieni tu tpdf iko juu tumalize huu ugomvi
 
Nyokooooo eti kenya ya 13 !! Wnakubandua kweli wewe ,Somalia tuu hpo wnakufila kla sku halafu unabana pua hpa "eti kenya ya 13" bana Makalio usifilwe Somalia nikuone ww n jeshi lko wnaume **** ww

una upumbavu kwani hiyo ripoti tumeiandika mbona usiingie mtandaoni uthibitishe..ujinga wako umekithiri.
 
Tanzania is no. 27 among of generous army. Is the No. 1 in Africa
They are well trained and powerful
Read here for more information

35 Most Elite Fighting Military Teams From Around The World

Most Dangerous Special Forces Of The World. See How Your Countrys' Army Looks Today


KDF ipo vipi au kuringia budget kubwa kubwa?
Ficha upumbavu wako unadangwa unadanganyika na unaleta thread irrelevant hapa, tanzania iwe 27 duniani?????? Kweli ile research ya watz wengi vichaa ni kweli.
 
Ficha upumbavu wako unadangwa unadanganyika na unaleta thread irrelevant hapa, tanzania iwe 27 duniani?????? Kweli ile research ya watz wengi vichaa ni kweli.
Hahahahaha. Mbona unalia sana nini tatizo.
 
Sababu ya roho mbaya za wakenya.. Media zao kwa miaka yote zimekuwa zikiandika mabaya ya watanzania na Tanzania yenyewe.. wakenya wengi wamedanganywa juu ya Tz.. Leo wakiona zuri lolote la tz mapovu yanawatoka...
 
Sababu ya roho mbaya za wakenya.. Media zao kwa miaka yote zimekuwa zikiandika mabaya ya watanzania na Tanzania yenyewe.. wakenya wengi wamedanganywa juu ya Tz.. Leo wakiona zuri lolote la tz mapovu yanawatoka...
we unajielewa kweli....mabaya mangapi yanaandikwa kuhusu kenya na hao journalists wetu wenyewe.we dont give a fvck,liwe baya au zuri waandike tu kama ni ukweli.na kama mnaona wameandika uongo kuwahusu mnaeza zusha
 
we unajielewa kweli....mabaya mangapi yanaandikwa kuhusu kenya na hao journalists wetu wenyewe.we dont give a fvck,liwe baya au zuri waandike tu kama ni ukweli.na kama mnaona wameandika uongo kuwahusu mnaeza zusha
Kwikwikwi. Yaani wakenya miaka hii mtaweweseka sana.

Kila kukichanaandika news za nchi jirani, mnazusha uongo. Kwani kuandika ya nchini kwenu inahusu nini TZ.

Huo ni ubwabwa na kukosa international diplomacy. Ni ushamba wa hali ya juu. Mmeaminishwa kuwa TZ ni hakuna kitu na nyie mkaamini pasipo kufanya utafiti. Ona sasa mnavyoumbuka na kuanza kutoa mapovu hovyo hovyo.
 
we unajielewa kweli....mabaya mangapi yanaandikwa kuhusu kenya na hao journalists wetu wenyewe.we dont give a fvck,liwe baya au zuri waandike tu kama ni ukweli.na kama mnaona wameandika uongo kuwahusu mnaeza zusha
Haaahhhaaa.! Kujielewa? Hv ww mkenya unaejielewa kwa kipi? Kuna ukweli gani waujua juu ya Tz? Hv ninyi mungiki, malofa wa kiafrica kwenye nchi yenyekunasib yenye uchumi mkubwa wakati wngi wenu mnakufa njaa na wengine sura zimewakakamaa shauri ya stress za maisha magumu .. ebu nenda kanunue sukuma wiki uje pika na ukal mkubwa.. Ushushie na gongo..
 
Hao spetnaz wa russia ni nyoko aseeh ....niliona documentary moja ...zoez gumu kuliko ni unaachwa katikat ya jiji na nguo za jela...alaf polisi waanambiwa kuna mfungwa katoroka yupo sehem fulan...polisi wao hawajui kuwa ni zoezi,wanajua ni real thing ..
 
Hao spetnaz wa russia ni nyoko aseeh ....niliona documentary moja ...zoez gumu kuliko ni unaachwa katikat ya jiji na nguo za jela...alaf polisi waanambiwa kuna mfungwa katoroka yupo sehem fulan...polisi wao hawajui kuwa ni zoezi,wanajua ni real thing ..
 
KDF ndiyo walikuwa wanaiba mabox ya pipi kwenye westgate mall? Kenya bhana
 
Back
Top Bottom