Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
jamani naomba ushauri nifanye biashara ya aina gani nina mtaji/bajeti ya laki tatu na nusu(350000) tu
naishi dar.. taaluma yangu ICT .. hii yote ni baada ya kukosa ajira na kutanga tanga na maisha nimejichanga nikamake hyo pesa.
nawasilisha
naishi dar.. taaluma yangu ICT .. hii yote ni baada ya kukosa ajira na kutanga tanga na maisha nimejichanga nikamake hyo pesa.
nawasilisha